Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Unaoa uko tayari kuoa,au kwa sababu umelazimishwa?Assume huyo shemeji yako atoweke duniani,tafuta maisha yako broππHelloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Kikongwe wa jfππhaya
Naona sawaWewe kama wewe unaonaje ππππ
NitachinjaShemeji yako mjanja sana. Ukishaoa utaleta uzi mwingine: Shemeji anamla mke wangu kimasihala
SwaUnaoa uko tayari kuoa,au kwa sababu umelazimishwa?Assume huyo shemeji yako atoweke duniani,tafuta maisha yako broππ
Kwa baba mkubwaSasa hivi unakula kwa mama au kwa shemeji?
Nitaua mtuKimsingi shemeji yako kakuomba umuolee mke wa pili
Dada ako na mkeo watakuwa wanagongwa kwa kupokezana
Kwahiy tutakuwa vijakazi?Hao wanataka vijakazi wa bureπππ