Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
PUMBAVU, USILETE UJINGA WAKO MBELE YA WANAUME.
 
Usikubali hata kidogo;-

1.anataka mkawe houseboy na girl KWA NYUMBA yake au walinzi wao wakienda kazini!

2........!!!????!!!Labda anataka aone je we zimo kweli!!?!!?
 
Back
Top Bottom