Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Dah kama jamii tumefika huku basi miaka 50 ijayo kizaz chetu kitakuwa cha ovyo sana.. fikiria huyu ndo anakuja kuwa na watoto.. ambao ndo tunategemea wawe mhimili wa taifa

Kaka samahan ila kuna vitu huitaja hata kufikiria.. kitendi cha hilo jambo kulifikiria kias cha kuomba ushaur kinatia mashaka sana..

Kuanzisha familia ni hatua ya pili katika maisha ya mwanasam kabla ya kifo..

Sasa ww uoe ukakae na shemeji kweli yaan kwa mfano unakutana na mtu anakuuliza hv

MKWE WA MWACHI : Mwachi weekend tunaomba tuje nyumbani kuwasalimia ,

MWACHILUWI: Sawa Mama/Baba basi ngoja niongee na Dada kisha nitawajulisha

Dada wa Mwachi baada ya kuambiwa mama mkwe anataka kuja

DADA: ok sawa ila ongea na baba mwenye nyumba shemejio umuomne ruhusa

Dah mwachi unatuangusha.. kwan mmelelewaje jaman..
Ase we jamaaa nimechekaa sana et sawa ngoja niongee na dada
 
usikubali hata kidogo kukaa kwa mwanamke maneno na utanyanyasika sana
 
Kimsingi shemeji yako kakuomba umuolee mke wa pili

Dada ako na mkeo watakuwa wanagongwa kwa kupokezana
Iko hivo yaani, mpaka unaambiwa uleo hapa kwangu.....anataka utelezi huyo, dada ako mauno feni hana.
 
Back
Top Bottom