Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipokuwa makini hata yeye mwenyewe[emoji1787]Kimsingi shemeji yako kakuomba umuolee mke wa pili
Dada ako na mkeo watakuwa wanagongwa kwa kupokezana
Dah unataka umri bado ujaruhusu kakaLazima uoe ,nimesema
Unataka kuzeeka ndio uoe? umri Safi kabisa huo mdogo wanguDah unataka umri bado ujaruhusu kaka
Ngoja nikae kimyawee nishog mkuu.tafuta bash tuu qummmmyo
Peke yako umetoa maon ya busar uko wapi ukunywe Jack Daniel leoWatu wanaweza kuwa na tafsiri nyeuzi za Mila za zamani,za hovyo na za kijinga. Huyo Shemeji yako anakuchukulia kuwa Sasa ni sehemu ya familia yake. Anataka kukusaidia kwa mfumo wa SYMBIOSIS yaani Kila mmoja anufaike.
Ama amepona Maisha yako yanayumba mjini. Kumbuka watu wa kaskazini, wamejenga majengo makubwa mashambani na kuwa na miradi ya kilimo lakini nyumba hizo zipo wazi au wapo wazee kutokana na vijana wapo mjini wanachakarika. Hivyo kitendo Cha kukuambia uoe na kwenda kukaa kwao ni positive kwa Nia njema kabisa Cha kufanya mjini uchangamke na wewe uendeleze Maisha yako kwa kuendelea kuchuma mawekezo ya shamba na mifugo
Wewe. Mbona umekataa kabisa kuoaUnataka kuzeeka ndio uoe? umri Safi kabisa huo mdogo wangu
Ndoa tamu
Ukioa shemeji yako atakua na jumla ya wake watatuHelloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
How comeUkioa shemeji yako atakua na jumla ya wake watatu
Helloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Tumfanyaje?Akubali kuzeeka
Tumtengenezee sheria kali sanaTumfanyaje?
Baada ya kunitus umeongeza nin?Kama wanaume ni Kama nyie bongo ,bandari waarabu washindwe kuimiliki ? Nmekutusi balaa