Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #141
Mbona waindi wanaishi ivyoSio kuishi tu bali kumtunza na kumhudumia mke pia😅
Ukienda kutunziwa huyo sio mkeo tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona waindi wanaishi ivyoSio kuishi tu bali kumtunza na kumhudumia mke pia😅
Ukienda kutunziwa huyo sio mkeo tena
Hao wanaishi kwa wazazi wao as a family!Mbona waindi wanaishi ivyo
Kwahiyo niachane na uamuziHao wanaishi kwa wazazi wao as a family!
Mhmm!!! Mgodi meru[emoji848].Sada shemeji ana mgodi uko meru na kaona anisaidie kuna ubaya
Kwanini?Mhmm!!! Mgodi meru[emoji848].
Best wa mie [emoji14]hapa sasa ndio ujue unaingzwa chaka mazima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa usije kumuoelea shemeji🤣Kwahiyo niachane na uamuzi
HAKUNAA shemaji mwenye huo ufalaaSio kuishi tu bali kumtunza na kumhudumia mke pia😅
Ukienda kutunziwa huyo sio mkeo tena
[emoji23][emoji23][emoji23]punguza jazba rikiboy[emoji23][emoji23]UNATUONAJEE WEE JAMAAA..??? unakatwaaa
Ngoja nimpigie cm nimwambie bas nimghailAcha kabisa usije kumuoelea shemeji🤣
Ata sijui
🤣🤣 wew utakuwa wakwazaHAKUNAA shemaji mwenye huo ufalaa
SwaBure kabisa samahan lakni
Mchagaaaaa!Siku niwe mama yako tu ndiyo utaniheshimu tu
Ata mm sijui embu nijuzeKuna methali mpya siku hizi inasems Asiyesikia la Mkuu, atasikia kishindo kikuu!🤣🤣
kumuolea mtu kwani kunakuwaje?
Naona unatafuta certificate ya makasirikoHelloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Mmmmh???Hakuna baya mbona waindi wanaishi