Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Una umri wa miaka mingapi kwanza?

Za kuambiwa changanya na za kwako
 
Nimesoma UZI wote nikasoma comment za wadau nikasoma majibu ya muomba ushauri kupitia comment za watu nimebaini mambo kadhaa

1. Huyu ndugu kuna asilimia 87% hii issue siyo ya kweli ila tu anataka uzi uende na tuchat chat hapa.

2. Asilimia 13% zilizobakia kama ni za kweli basi ndugu huyu amesharidhia jambo hilo na ameshafanya maamuzi, kwa kuwa ushauri unaotolewa kumuunga hoja ndiyo anaoona huo ni sahihi, ila wa kumpinga na yeye anataka kukuhoji kwa nini umeshauri hivo.

3. Kama ni kweli na hajafanya uamuzi toeni ushauri kwa kujuwa tunadeal na mtu wa level gani na uwezo wake wa kufikiri ni wa chini sana.

Kuna sehemu amesema mama yake mkubwa alimwambia aende kuishi kwake coz bado mdogo.

Kwa hiyo anatoka kwa mama mkubwa anakwenda kwa shemeji na mke wake, na mke aliyeolewa kwa ushauri wa shemeji mtu.

USHAURI WANGU TU KWAKE AFANYE LILE ANALOONA KWAKE NI RAHISI NA LITAMPA FURAHA, MAANA HAPA DUNIAN TUNATAFUTA FURAHA KWA KILA JAMBO.
 
Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae


Ni either:

1. Ni mwendawazimu.
2. Ana deal muhimu sana na wewe.
3. Anataka akutoe kafara....
4. Ni commedian, anakutania.

Haliwezi kuwa swala la Upendo.
 
Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Shemeji yako ameona una umri mkubwa na utazeeka bila mke, pili anataka kukuoa wewe, dada ako pamoja na mke wako mtarajiwa wote muwe mke walenyewe.
 
Nimesoma UZI wote nikasoma comment za wadau nikasoma majibu ya muomba ushauri kupitia comment za watu nimebaini mambo kadhaa

1. Huyu ndugu kuna asilimia 87% hii issue siyo ya kweli ila tu anataka uzi uende na tuchat chat hapa.

2. Asilimia 13% zilizobakia kama ni za kweli basi ndugu huyu amesharidhia jambo hilo na ameshafanya maamuzi, kwa kuwa ushauri unaotolewa kumuunga hoja ndiyo anaoona huo ni sahihi, ila wa kumpinga na yeye anataka kukuhoji kwa nini umeshauri hivo.

3. Kama ni kweli na hajafanya uamuzi toeni ushauri kwa kujuwa tunadeal na mtu wa level gani na uwezo wake wa kufikiri ni wa chini sana.

Kuna sehemu amesema mama yake mkubwa alimwambia aende kuishi kwake coz bado mdogo.

Kwa hiyo anatoka kwa mama mkubwa anakwenda kwa shemeji na mke wake, na mke aliyeolewa kwa ushauri wa shemeji mtu.

USHAURI WANGU TU KWAKE AFANYE LILE ANALOONA KWAKE NI RAHISI NA LITAMPA FURAHA, MAANA HAPA DUNIAN TUNATAFUTA FURAHA KWA KILA JAMBO.
Sawa kaka nimelichukua
 
Ni either:

1. Ni mwendawazimu.
2. Ana deal muhimu sana na wewe.
3. Anataka akutoe kafara....
4. Ni commedian, anakutania.

Haliwezi kuwa swala la Upendo.
Upo kwenye akili yangu wewe
 
Back
Top Bottom