Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Atakuwa anamchapa dada yako na mkeo kwa pamoja. 😂😂
 
Helloww

Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Mwoe mdogo wake kwa kuwa na yeye kamchukua dadako
 
Kweli babu
Acha ubwege wewe tafuta kwako ukaishi acha maisha ya kuwa kama ruba! Dadako akifukuzwa mtaondoka kama wendawazimu. Mjinga kweli wewe hv unadhani Jf ni jukwaa na kuleta upimbi wako! Ngoja jioni nikikutana na huyo shemela wako nimwambie akufukuze kwani una nia ya kuwabaka nduguze! Boya wewe
 
Acha ubwege wewe tafuta kwako ukaishi acha maisha ya kuwa kama ruba! Dadako akifukuzwa mtaondoka kama wendawazimu. Mjinga kweli wewe hv unadhani Jf ni jukwaa na kuleta upimbi wako! Ngoja jioni nikikutana na huyo shemela wako nimwambie akufukuze kwani una nia ya kuwabaka nduguze! Boya wewe
Sada shemeji ana mgodi uko meru na kaona anisaidie kuna ubaya
 
Hivi hii mitoto yenu ya kiume mnailisha nini siku hizi🙆🙆🙆
Haina nguvu wala akili.
 
Back
Top Bottom