Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #101
Swa kijana mzeeunafeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swa kijana mzeeunafeli.
Shaur yako.......mimi ni sauti ya mtu aliae nyikaniAse atapigwa mtu
Una umri gani?Maana mama mkubwa aliniambia bado mimi mtoto kwahiyo natakiwa kukaa kwake
11Una umri gani?
Mh ww lazima nichunnge Mali yanguSasa utachungaje akat unafugwa
Atakuwa anamchapa dada yako na mkeo kwa pamoja. 😂😂Helloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Mie nimesema tyuuh eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah sikutegemea na ww utalopoka hapa
Sawa tubAtakuwa anamchapa dada yako na mkeo kwa pamoja. 😂😂
Hakuna baya mbona waindi wanaishiMie nimesema tyuuh eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au wee unaonajee?? Ni sahihi hivyoo???
Mwoe mdogo wake kwa kuwa na yeye kamchukua dadakoHelloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Kwao yey ndio wamwishoMwoe mdogo wake kwa kuwa na yeye kamchukua dadako
Basi wewe tafuta hata nduguye yoyote tuu! Hapo mtaishi kwa amani na kuheshimiana hakikaKwao yey ndio wamwisho
Kweli babuBasi wewe tafuta hata nduguye yoyote tuu! Hapo mtaishi kwa amani na kuheshimiana hakika
Acha ubwege wewe tafuta kwako ukaishi acha maisha ya kuwa kama ruba! Dadako akifukuzwa mtaondoka kama wendawazimu. Mjinga kweli wewe hv unadhani Jf ni jukwaa na kuleta upimbi wako! Ngoja jioni nikikutana na huyo shemela wako nimwambie akufukuze kwani una nia ya kuwabaka nduguze! Boya weweKweli babu
Sada shemeji ana mgodi uko meru na kaona anisaidie kuna ubayaAcha ubwege wewe tafuta kwako ukaishi acha maisha ya kuwa kama ruba! Dadako akifukuzwa mtaondoka kama wendawazimu. Mjinga kweli wewe hv unadhani Jf ni jukwaa na kuleta upimbi wako! Ngoja jioni nikikutana na huyo shemela wako nimwambie akufukuze kwani una nia ya kuwabaka nduguze! Boya wewe
Inapoelekea na wewe utaliwa kwa tamaa zakoSada shemeji ana mgodi uko meru na kaona anisaidie kuna ubaya