Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew wakati anaoa yeye ulimshauri wew mkuu fanya maamuz mwenyew ili baadae usije ukamuona mchawi wa ndoa yakoHelloww
Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
Sawa my geBasi sema na moyo wako
😊🤗Sawa my ge
Sawa nimelichukuaWew wakati anaoa yeye ulimshauri wew mkuu fanya maamuz mwenyew ili baadae usije ukamuona mchawi wa ndoa yako
I love you
I miss u too best yangu. shem amekuonea huruma na baridi kali la arusha au?I miss you kipenz
Ata sijui kwakwelI miss u too best yangu. shem amekuonea huruma na baridi kali la arusha au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mke ulikua bado hujatafuta😃😃😃I love you
NdioKwani mke ulikua bado hujatafuta😃😃😃
Sasa utamuoa nani 😃Ndio
Siri yanguSasa utamuoa nani 😃
Sawa,, me nikutakie tu kila la kheri 🤩🤩Siri yangu
But please let talk privatelySawa,, me nikutakie tu kila la kheri 🤩🤩
Siku zote fanya maamuzi sahihi ukiwa na msimamo wako Ili uweze kusimamia maamuzi yako hapo baadae.Ata sijui kwakwel
Sawa best yangu mzuriSiku zote fanya maamuzi sahihi ukiwa na msimamo wako Ili uweze kusimamia maamuzi yako hapo baadae.
Sawa best wa mie[emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri achagukiwaKuoa mpaka ushauriwe mkuu..tena na shemeji kweli mkuu????