Ilimchukua muda sana Malkia kukubali Charles kumoa Camilla na aliporuhusu hili ni moja ya sharti alilopewa.
Anza kwanza wa hapo kwenu..Hivi ukitaka kuoa malkia posa unapeleka wapi? Kuna mtu ananiulizia hapa anataka kuoa huyo malkia aliyefiwa na mumewe
Tajiri na pesa zake maskini na watoto wake. [emoji1787][emoji1787]Wazungu waoga sana kuzaana,,, babu wa miaka 99 anawajukuu 10 tu pekee,,,
HahaaIluminati siyo devil. Acha kulishwa matango pori
Ndio amefariki peaceful kwa sababu ya uzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa ulikuwa kijijini kwenu uzirankendeni
Ulikuwa busy kupiga nyungu?Mbona taarifa za msiba wa prince Philips wa Edinburgh sikuwa nazo kabisa Ina maana mwaka Jana mwezi wa nne nilikua wapi mpaka habari hizi nisizijue?au itakuwa nimesahau tu maana yule NI mtu maarufu Sana na wameishi na malkia muda mrefu Sana Sasa sielewi kifo kimepitaje kimya kimya hivi mpka leo Kuna mahali nasoma ndo nakutana na hii habari.
Jamaa Yuko mtungi huyu,mnyang'anyeni simu[emoji28][emoji28]Wee leo umepandisha nyuz ngapi nimeona moja unalalamika umekutana na papuchi chafu