Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99

Prince Phillip wazazi wake mmoja alikuwa ni mgiriki na mwingine mdanish.
Ilimchukua muda sana Malkia kukubali Charles kumoa Camilla na aliporuhusu hili ni moja ya sharti alilopewa.
 
Wazungu waoga sana kuzaana,,, babu wa miaka 99 anawajukuu 10 tu pekee,,,
 
Mbona taarifa za msiba wa Prince Philips wa Edinburgh sikuwa nazo kabisa Ina maana mwaka jana mwezi wa nne nilikua wapi mpaka habari hizi nisizijue? Au itakuwa nimesahau tu maana yule nI mtu maarufu sana na wameishi na Malkia muda mrefu sana sasa sielewi kifo kimepitaje kimya kimya hivi mpka leo kuna mahali nasoma ndio nakutana na hii habari.
 
Ulikuwa busy kupiga nyungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…