Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo ndio atekwe?Team Lisu, wao ndio strategist na analyst wa Lisu, hawa ndio wataalam wa kapeni za Lisu.
🤣Team Lisu wanasema hivyo, lakini hawatuambii ni kwa namna gani.
Team Lisu wana satelite angani ina nasa picha za wafuasi wa Mbowe, na kunasa sauti za mawasiliano ya yeyote asiyemkubali Lisu.
Walisema ushahidi wanao, Sitashangaa wakisema Huyo Mume wa Maria ni Team Mbowe.
Una insinuate labda alikuwa kwa mchepuko?Kuna mambo yanachekesha sana, mtu yupo moshi /arusha anaripoti habari za kutekwa mtu Nairobi,
Swali kujiuliza aliaga wakati anaondoka? Huyo mtoa taarifa katoa mapema kuliko hata mume wa mwanamke.
Sasa alienda wapi huyu bibie?
Kwamba Maria kajiteka mwenyewe kama alivyofanya Mbowe?Inaonekana suala zima ni la kutengeneza.
Au Abdul Nondo😀Kwamba Maria kajiteka mwenyewe kama alivyofanya Mbowe?
JWTZAkamatwe na nani…..CHADEMA?
Achana na hizo fikra chafu bana..😀.nasubiri kusikia habari baada ya kutekwa, watekaji walimfanya nini au walimuambia nini?
Au Abdul Nondo😀
Inawezekana.Abdul Nondo alijiteka mwenyewe.
Kwani Kinana na magu ni wa wapi! Wengi wa watanzania ni wahamiaji kama alivyowahi kusema Karume japo Mods wa JF walificha.Hahaha kwa nini wasema hivyo?
Halafu ni wa wapi huyo jamaa? Habesha?
Kweli Samia ni Magufuli wa kike kama alivyowahi kusema Tundu LissuBwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na wahuni waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
😀 pengine walipiga tu storry na kunywa kahawaAchana na hizo fikra chafu bana..😀.
Team Lissu wanaropoka chochote ili mradi wana mdomo na wanaweza kuandika.Mbona Team Lisu walisema ni Mbowe ndiye alimteka, sasa tuamini lipi?
Amnesty International nao wamepigilia msumali huo huo kwahiyo nao wanauremavu wa fikra? oya nyie fisiem kutekana ni ungese mafi nyieNdio maana yule jamaa ni mumewe. Ni zezeta flani lenya ulemavu wa fikra.