Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Kwa mujibu wa mume wa Maria, Maria alikuwa ameenda kutengenezwa nywele.

Sasa sijui ni kwamba hawakumaliza kuzitengeneza kabla hajatekwa au walimaliza lakini alipotekwa, hao watekaji wakazivuruga?

Maana kwenye hii picha baada ya yeye kupatikana, zinaonekana hazijatengenezwa [at least to my untrained eye].

View attachment 3200349
Mume wa Maria ni poyoyo fulani la Ki-Ethiopia, kwanza ni legelege maana hwana hata mtoto wa kusingiziwa
 
Kwa vyovyote kukaa nchi jirani na kuibagaza nchi yako kila uchao ni UBWEGE.
 
Kufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.

Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.

Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.

==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”

“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.

He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.

Kila mtu anaweza kuongea anachofikiri. Kwa mfano, mimi naweza kuamini
mosi, katekwa na miongoni mwa watu wa magenge yao ya siasa yaliyofitinika nchini. Maana siku zote wanajuana nyendo zao nje sasa wanashughulikiana.
Pili, kama harakati zake kazihamishia Kenya na kutaka kuivuruga nchi hiyo wenye nchi watamwachaje 'kumla kidogo?'

Lakini hoja zangu zote zinaweza zikawa ni porojo tu sina evidence kama huyu mume bwege ana ushahidi gani wa kumhusisha Mhe. Rais na vyombo vya usalama nchini? Upuuzi mtupu. 🙏🙏🙏
 
Wapambe wake [Ruto] nao wameanza habari za yeye kutawala zaidi ya miaka 10!

Siasa za Afrika ni za kipumbavu sana.
Tatizo la Africa ni kupenda drama

I can wake up today na Lumza kusema samia 20 tena

Kesho ukakuta nusu clubhouse wanatoa povu na 20 years za samia
 
Akae huko huko na msomali wake.
Hatutaki ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na kamwe haitovugwa na kunguni yeyote yule.

Yah right. Watanzania wamezoea kupewa Ptopaganda na Uongo uongo. Hivyo ndivyo tunavyoviamini.
 
Back
Top Bottom