milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Tsehai ni mzaliwa wa mkoa Gani Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini cha kufurahisha watu wakiwa wanatekwa?Chato gang ukisikia Samia kalalamikiwa unafurahiiiii mwenyewe
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na wahuni waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
Tuliza upumbavuAkae huko huko na msomali wake.
Hatutaki ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na kamwe haitovugwa na kunguni yeyote yule.
Itabakia siri yake na watekajiNiliposikia katekwa, fikra chafu chafu zikaanza kunijia kichwani. Na sijui hata ni kwa nini 🤣.
I hope they didn’t violate her.
Hapa moja kwa moja Rais Samia na mwanawe shoga Abdul wanahusikak na huu mchezo, nashauari jeshi letu limkamate Abdul na mama yake kwa kuichafua
Mawazo kama jina lako mkuu yani kama pua na mdomo 😂😂nasubiri kusikia habari baada ya kutekwa, watekaji walimfanya nini au walimuambia nini?
Mume wa Maria ni poyoyo fulani la Ki-Ethiopia, kwanza ni legelege maana hwana hata mtoto wa kusingiziwaKwa mujibu wa mume wa Maria, Maria alikuwa ameenda kutengenezwa nywele.
Sasa sijui ni kwamba hawakumaliza kuzitengeneza kabla hajatekwa au walimaliza lakini alipotekwa, hao watekaji wakazivuruga?
Maana kwenye hii picha baada ya yeye kupatikana, zinaonekana hazijatengenezwa [at least to my untrained eye].
View attachment 3200349
Hao wakosoaji ulikuwa pamoja nao toka kipindi cha Magufuli ila wewe sasa hivi unawaita mabwege tena kisa wewe umeacha kukosoa.Kwa vyovyote kukaa nchi jirani na kuibagaza nchi yako kila uchao ni UBWEGE.
Kila mtu anaweza kuongea anachofikiri. Kwa mfano, mimi naweza kuaminiKufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.
==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”
“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.
He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.
Timu ya NKURUNZINZA WA MACHAME.Kwani Maria yeye anachezea timu gani?
Tatizo la Africa ni kupenda dramaWapambe wake [Ruto] nao wameanza habari za yeye kutawala zaidi ya miaka 10!
Siasa za Afrika ni za kipumbavu sana.
Ndio maana yule jamaa ni mumewe. Ni zezeta flani lenya ulemavu wa fikra.
Akae huko huko na msomali wake.
Hatutaki ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na kamwe haitovugwa na kunguni yeyote yule.
Lakini Lissu alisema ni Ruto!
Nilikuwa sijui kama huyu MRUSI ana mume!Ndio maana yule jamaa ni mumewe. Ni zezeta flani lenya ulemavu wa fikra.