Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Kufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.

Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.

Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.

==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”

“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.

He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.

Hatujasikia Mbowe akilaani kutekwa kwa Sarungi. Mbowe ana matatizo sana, anamsapoti muuaji Samia nje ya pazia, shida ya viongozi wenye elimu duni. Yuda Iskarioti wa Machame.
 
Kufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.

Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.

Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.

==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”

“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.

He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.

Wameota mapembe mpaka wanakwapua watu nchi za nje...jana niliona Video kidogo wafumuliwe maana wakenya walitaka kuwablock wakafanikiwa kupenyeza na kukimbia...yaani badala ya kutufungulia uwekezaji na ajira huko nje...mnadaka watu eti kisa hamtaki kukosolewa ? Yaani tuwachague sisi, tuwalipe mishahara sisi kwa kodi zetu alafu tushindwe kuwakosoa? Yani kweli baba ashindwe kumkaripia mwanae kisa nini ?
 
Matukio kama haya yanakumbusha kuwa binadamu hatufanani hivyo wakati unafanya uhanaharaki wako uchwara jiulize, ukitekwa kama Maria, itachukua muda gani habari kusambaa?
 
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na wahuni waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
Ndio lengo zima la hiyo sinema iliyoandaliwa na hao wazungu. Kuichafua serikali inayokuwepo madarakani.

Wanakimbilia kwenye hitimisho bila ya kwanza kuweka hadharani ushahidi wenye kujitosheleza wa namna serikali inavyohusika na huo unyama.
 
Back
Top Bottom