Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Mume wa Maria Sarungi amtupia lawama moja kwa moja Rais Samia na vyombo vyake vya usalama

Habeshi, ndio.
Ukiona mtu ananyooshea mwingine kidole bila ushahidi ni mjing. Nairobi imeshuhudia abductions nyingi sana na nyingi seem kuwa ni politically motivated. Inawezekana hawapati attention ya kutosha ndio maana wakaona wamteke hako kashankupe. Kuna possibilities nyingi sana na mwenye akili timamu hawezi amka na kutuhumu bila ushahidi.
sasa mbona unafoka ila kyuma nyie dawa yenu inapoa mtainywa tu endeleeni na usyennge wenu wa kutekanatekana
 
Tatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Hana nguvu kivipi wakati kwenye idara zote zilizo nyeti ameweka watu wake?

Wengi sana walioteuliwa na Magufuli aliwaondoa.

Sasa anahujumiwa na watu ambao aliwaweka yeye mwenyewe.
 
Kufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.

Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.

Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.

==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”

“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.

He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.

Hakuna investigation wala nini… jamaa ameshaamua ni nani?

Hizi pesa Zina nguvu sana
 
Tatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Tatizo baits za akina maria na wenzake nk too low for Mh samia

Hakutupuki na hiyo inawachanganya sana wapenda drama maana wameshavuta pesa za watu

Ogopa sana a woman…. They approach things differently and in many issues hapa bongo she has mastered them very well
 
Kwa mujibu wa mume wa Maria, Maria alikuwa ameenda kutengenezwa nywele.

Sasa sijui ni kwamba hawakumaliza kuzitengeneza kabla hajatekwa au walimaliza lakini alipotekwa, hao watekaji wakazivuruga?

Maana kwenye hii picha baada ya yeye kupatikana, zinaonekana hazijatengenezwa [at least to my untrained eye].

IMG_7435.jpeg
 
Tatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Hatari sana
 
Back
Top Bottom