LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Dah Kenya sio salama Tena wallahi...Rais Ruto mambo yanazidi kuwa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapambe wake [Ruto] nao wameanza habari za yeye kutawala zaidi ya miaka 10!Dah Kenya sio salama Tena wallahi...Rais Ruto mambo yanazidi kuwa hovyo
sasa mbona unafoka ila kyuma nyie dawa yenu inapoa mtainywa tu endeleeni na usyennge wenu wa kutekanatekanaHabeshi, ndio.
Ukiona mtu ananyooshea mwingine kidole bila ushahidi ni mjing. Nairobi imeshuhudia abductions nyingi sana na nyingi seem kuwa ni politically motivated. Inawezekana hawapati attention ya kutosha ndio maana wakaona wamteke hako kashankupe. Kuna possibilities nyingi sana na mwenye akili timamu hawezi amka na kutuhumu bila ushahidi.
Hana nguvu kivipi wakati kwenye idara zote zilizo nyeti ameweka watu wake?Tatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Hakuna investigation wala nini… jamaa ameshaamua ni nani?Kufuatia ‘kutekwa’ kwa mwanaharakati María Sarungi huko Nairobi, Kenya, na baadaye kupatikana kwake, televisheni ya Citizen huko Kenya ilifanya mahojiano mafupi na mume wa mwanaharakati huyo.
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Kasema hana shaka kabisa kuwa ni nani kahusika na tukio hilo, ingawa hakutoa ushahidi wowote ule.
==========================
Ms Tsehai’s husband, David, said following his wife’s release: “This has been the worst ordeal of my life. I did not know whether she was alive or dead.”
“She is a fierce critic of Samia Suluhu’s government so there is no doubt that this government and the thugs in her security service and police are behind this,” Mr Tsehai told Citizen TV.
He said he and Maria have been living in Nairobi after fleeing Kenya’s southern neighbour during the regime of Suluhu’s authoritarian predecessor John Magufuli, who issued an arrest warrant against the activist.
kumbe abdul ni biriani😁😁😁😁Hapa moja kwa moja Rais Samia na mwanawe shoga Abdul wanahusikak na huu mchezo, nashauari jeshi letu limkamate Abdul na mama yake kwa kuichafua nchi yetu.
Tatizo baits za akina maria na wenzake nk too low for Mh samiaTatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Pesa gani unazizungumzia?Hakuna investigation wala nini… jamaa ameshaamua ni nani?
Hizi pesa Zina nguvu sana
Ngoja tusubiri mkuu, sidhani kama alitekwa.Una insinuate labda alikuwa kwa mchepuko?
Hatari sanaTatizo la sasa Mama Samia ni kama vile hana nguvu na kuna kihere here wengi sana usalama na wanapanga vitu inawezekana bila kutumwa. Sasa Mama akisikokuwa makini na hizi teka teka kuna wananchi wanaweza kulipiza visasi kwa hao ndugu wa wanasiasa .
Baada ya kumteka walimuachia 😼nasubiri kusikia habari baada ya kutekwa, watekaji walimfanya nini au walimuambia nini?