Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
hata kama alikuwa yupo SA? Mjifunze kuwa makini na uandishi wa siku hizi, mtu anaweza akatengeneza habari na kuficha details fulani, na kama huna akili utaingia kichwa kichwa kusapoti
 
Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, ... Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana.
kwa hiyo umelia sana! Pole bwana mdogo, ila punguza umbea taratibu hadi uuache kabisa
 
Duh! Kweli ndoa ndoano!
Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
 
Mbona sijakutukana nimekupa cheo chako, Mtu asiye na akili si mbumbumbu au tutusa? Maanake nyie hata kutawaza ni mpaka muambiwe na mama
Hata mimi sijakutukana mkuu😂.

Haya unayoongea ni kutokana na kwamba ulitoka kweny kum yeny mfanano wa pipa la pombe.

Ufukara unawatesa kiasi cha kumalizia stress zenu kwa watu.
 
hata kama alikuwa yupo SA? Mjifunze kuwa makini na uandishi wa siku hizi, mtu anaweza akatengeneza habari na kuficha details fulani, na kama huna akili utaingia kichwa kichwa kusapoti
Alikuwa Tuangoma Nyumbani sikuandika bila reference angalia mahojiano yake na waandiahi
 
Pole sana mkuu
 
Vunga kaka
 
Ondoeni hizo mentality, aliyepo jirani ndiye anaweza kutoa msaada wa haraka zaidi kuliko hata ndugu au mwenza. Nyumba inaungua Tegeta na wewe upo Mbagala, halafu eti mtu aje kulaumu kwamba mwenye nyumba alitakiwa awe wa kwanza kuwepo eneo la tukio! Aisee!
 
Mkuu mama yake anahusika vipi hapa? Tafadhali sana, naomba ufute hayo maneno yanayomhusisha mama yake.
Sifuti, fanya unalotaka kufanya.

Kwenye comment yangu aliyoijibu kwa kunitukana, sikuwa nimetukana yoyote sasa kwakua amenitukana sina muda wa kuanza kuchambua ni tusi gani nimtukane pia.
 
Mkuu mama yake anahusika vipi hapa? Tafadhali sana, naomba ufute hayo maneno yanayomhusisha mama yake.
Anahusika kwa kushindwa kumpa malezi mazuri kiasi cha kutukana watu wasiomkosea chochote, vita haichagui silaha.
 
Nakazia, mjumbe mmoja juu alisema inawezekana jamaaa katua mzigo anaumia kwa sababu watoto wamekosa mama.
Kuishi na mwenza msiyesikilizana, malaya,mlevi,mwenye wivu na gubu, ni mzigo mzito sana
 
Wewe ndio mwanaume wa hovyo kabisa kuzaliwa katika hii dunia hii lawama za kijinga eti angekuwa wa Kwanza kufika halafu iweje? Sijawahi kuona mtu wa hovyo kama wewe
 
Duuuuuh
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]

Hahahaha nimecheka kimaku jioni hii[emoji119][emoji119]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
kwa hiyo umelia sana! Pole bwana mdogo, ila punguza umbea taratibu hadi uuache kabisa
Inauma sana kama unamsikikiza mama yako tu sisi wazee tukikushauri unaita umbeya.
 
Mzee zaidi ya kukuzalia watoto ulitaka nini tena, na alivyo mjanja wote wa kwako. Huyo ni wa kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…