Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke ndo anakuwa wa mtu, mwanaume hana limit ya idadi ya wanawake........chukulia mfano wa mfalme suleiman aliyekuwa na wanawake na michepuko 700, tuambie mwenye mme alikuwa ni nani hasa....Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Kwa hiyo hawa wengine 699 wote walikuwa wezi wa mme wa mtu.Mke wa kwaza
Ni jambo jema lakini, maana unakuwa umefanikiwa kuzaa na mtu mwenye pesa 🤣Kesho kutwa anarudi kwa mkewe anakuacha na mtoto unakuwa single mother
Hahahah sasa mbona mnawapenda zaidi wao? 😀Kwani wanaume wa watu wote wana pesa wengine wamechokaaa mpaka viatu tu hawabadili kila siku kazini kiatu kimoja
Hahahah kwahio wengine hamuwapendi.Usiwasemee wote sema baadhi yao
Sidhani kama Kuna mume wa mtu😂 ila mke wa mtu sumuKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
you are very right, hakuna mume wa mtu kuna mke wa mtu tuMke ndo anakuwa wa mtu, mwanaume hana limit ya idadi ya wanawake........chukulia mfano wa mfalme suleiman aliyekuwa na wanawake na michepuko 700, tuambie mwenye mme alikuwa ni nani hasa....