Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Hivi kwanini Flora ulienda kuishi guest/ lodge??? Alikosa kabisa mahali pengine ambapo ni salama??
 




porojo kibao kwa nini haendi polisi uku akiwa na muda wa kuongea na mwandishi? haya majangiri yanayojificha nyumma ya injili yamulikwe.

mimi sijui nani hasa anasema ukweli lakini namwelewa yeye kujificha, mtu asije akakutuhumu ukakakimbilia kule eti huna hatia, baadhi (wengi) ya polisi wetu wamegeuza "lock up" kitega uchumi kwani ukifika watakuweka ndani na kama hakuna mtu wa kukuangaikia (kuwaonga) utateseka sana. Pale ni sehemu ambayo kuingia ni BURE lakini kutoka lazima ulipe tuu.

Kuna jamaa yangu alibambikiwa kesi eti kaharibu mali, basi akashauriwa yeye akasema mimi naenda sina hatia basi akatiwa ndani kituo cha kwa Yusuph na dana dana kibao, watu wa kumdhamini wapo lakini wapi, eti lazima dhamana itolewe na mkuu wa kituo ambaye alikuwa eti kwenye msafara, halafu eti wanafunga saa kumi jioni, hadi kesho yake, hiyo ilikuwa kuanzia saa nne kama si ndugu zake kutumia mamlaka ya juu pasinge tosha kwani alitoka kumi na moja jioni.

Pia kwa wenye magari, ukikwaruzana (ukigongana) na gari la mtu mwingine mkaamua kwenda mbele, "Be prepared for the worst". Jamaa wanakutia ndani hivi hivi (kama hautakuwa tayari kushirikiana nao!) na unaweza ukalala ndani hivi hivi hasa kituo cha oysterbay.
 
Mtamsafisha lakini hatasafishika ng'oooooooooo!AIBU YA YAO AIBU YA EMMA?AIBU YAO WENYEWEEEEEEE,FLORA MA MZINZI MWENZIE!NA TUNAMTAKA BOLD WETU!
 
Hizo Ndio ndoa....na hio ni robo tu, ndoa zinahitaji uvumilivu mkubwa sana sana Yaani mkikatiza miaka mitano ni kumshukuru MUNGU
 
Sustain your arguments so that we can believe that your concerns has been proven beyond reasonable doubt . na hayo tu , vinginevyo itakuwa ni mipasho kama ile ya Mh. kapuya....si unakumbuka???
 
Haha nyie mnaangalia na kuhukumu kwa ukomo wa akili zenu hamjui wanaishije wala walikutanaje hadi kufikia hapo kwahiyo mambo ya ndoa yao wanayajua wao wenyewe acheni kukurupuka kwa kujifanya mnaifahamu sana ndoa yao, oeni na nyie ndio mtaijua ndoa ilivyo pale mtakapohukumiwa 😡
 
Kuna member mmoja anaitwa TAMKO alikuja na uzi wa kukanusha kuhusu huu mgogoro,sasa akisoma hii habari sijui atasemaje.
 
Last edited by a moderator:
Usikimbilie kuwa judgemental kwa kusikiliza upande mmoja wa shiling. Hili suala ni pana kuliko unavyofikiria
Tokea habari iandikwe magazetini kwa mara ya kwanza alikuwa kukanusha? kama ni msafi kwa nini ajifiche muda wote huo?

Halafu kwa taarifa yako tu, tunafuatilia mambo yanayotokea nchi hii kwa ukaribu na tuna kumbukumbu pia. Ni huyo huyo Emmanuel Mbasha unayemtetea kwa kivuli cha utumishi wa Mungu, miaka kadhaa nyuma kabla ya kifo cha Moses Kulola, Mbasha huyo huyo aliwahi kumpiga mtu nyuma ya jukwaa kisa kupewa muda chache wa kuimba mkutanoni... alipigwa marufuku kuimba kwenye mikutano ya injili...

Ilisuluhishwa kiutu uzima na sakati kuisha kimya kimya...
 

Hawa watu wa makanisa ya kijasiriamali huwa ni waongo sana !!!!

Sijui huya TAMKO anadanganya kwa faida ya nani.

Hebu someni hapa

Mumewe Flora Mbasha ajitokeza, afichua siri - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 

kazi haziendi hapa............ nashika mafile kidogo the huyo nazama ndani

nikimuona The bold ndio roho yangu itatulia sa hivi hapana
 
Last edited by a moderator:
naomba ufafanuzi zaid juu ya uhusiano uliopo kati ya flora na Gwanjima

Nisije nikasutwa sijasema uhusiano wa kimapenzi...

Uhusiano ni Gwajima kumhamishia Flora GEST, kumpa cheo kikubwa kanisani, kumpeleka chuoni Uingereza na kumtembelea mara kwa mara, kuzunguka naye kwenye mikutano nchi nzima. Yote hayo AMESAIDIA huku mumewe Flora amebaki nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…