Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Wewe Pdidy ni mfuasi wa Gwajima nimeshawahi ona mabandiko yako ukimtetea...

Naona Gwajima ameamua kujinasua kwa stail hii..
 
Last edited by a moderator:
Mtoa thread acha uongo ni radio gani Mbasha kaongelea??? Acha kumsafisha mchungaji wako mzinzi wewe.Tupe source.
 
Halafu inaonesha jamaa ndo alikuwa ameolewa na mke wake anahofu sn hatima ya maisha yake
 
!
!
team no regreats........... simple tu,....you break the rule....you are fired,sucked and everything ma@nina kimyakimya
 
Wewe Pdidy ni mfuasi wa Gwajima nimeshawahi ona mabandiko yako ukimtetea...

Naona Gwajima ameamua kujinasua kwa stail hii..

Ni kweli kabisa huyu Pdiddy ni mkusanya sadaka kwa gwajima,ndio walewale watu wa TOTOZ!! Matapeli wa injili.Humpati mtu pdiddy,nenda na mchungaji wako ITV mkaombe msamaha,mseme hivi: SISI NI WAZINZI.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Huyu mshkaji hana mshauri? He better keep quiet maana hivi anaharibu hata ushahidi
 

mkuu bado ujazoea ipad???
 
Team Gwanjima mnachekesha.. umeyapa redio gani tena.. siku Gwanjima akimgegeda mkeo au dada ndipo utamtambua huyo mtumishi wa mungu
 
Team Gwanjima mnachekesha.. umeyapa redio gani tena.. siku Gwanjima akimgegeda mkeo au dada ndipo utamtambua huyo mtumishi wa mungu

Mkuu mtoa thread ni group la matapeli wenyewe,wameumbuka wanataka wajisafishe.hakuna radio yoyote ameongelea mbasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…