Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mnhh haya mambo nikuwaachia wao wenyewe wajue wata solve vipi , ndoa na iheshimiwe na watu wote but kwenye hizo drama zao embu wamuache Mungu.
 
Kama chekechea ndio kaandika dah..
 
Angemtaja huyo kigogo ningemsaidia miaka 5 gerezani
 
GWAJIMA BANA!!! unadhani ni rahisi sana kuwahadaa watanzania wa kizazi hiki? mimi nimeshatoroka kanisa yako, hunipati ng'oo.
 
Pdidy taja source ya hyo habar.
Kama ni radio basi itaje jina,kipind na mtangazaj wake.
Naona umekuja kumsafisha baba askof.

Ila Leo umejitahd kuandika mwandiko mzur
 
Ndio hapo sasa? Gwajima anataka ajisafishe.hasafishiki ng'o.

mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.
 
mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.

Kajilipue mwenyewe.
 
Hujamtaja huyo kigogo na wala aliyasema hayo katika redio gani....uwongo mtupu
 
Mungu awarehemu hawa watumishi wa mungu mr&mrs Mbasha warudi kama zamanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…