Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mnhh haya mambo nikuwaachia wao wenyewe wajue wata solve vipi , ndoa na iheshimiwe na watu wote but kwenye hizo drama zao embu wamuache Mungu.
 
Nikweli mkuu na hili nilileweka waziii kulee pengine mbasha bado ajaelewa msimamowamkeewee nannahisinaitaji mshauri badallaykuamua maamuzi yake mwenyewe kwanini nasema hivyo

Akiongea redioni anasema akimpgia flora flora anamwamwambia aitaji kuongea nae mpaka aendekujisalimisha amalaa a nahakikisha anafia jela



Hapohapo anasema anampenda mkeewe na atahakiksha ndoayake inarudi kama ilivyokuwa

Ni kujiuliza tu unaambiwa utahahakikishiwa unafia jela tenabkamtajia na Teresa sio segerea unavyojua wewe keko

Sasaa kuna mke hapo.....kunahaja ya kuhangaika zaidi
Apatemshauri wakympamawazo yakukubalu now ndoa is no more afight amalize tatizo aanze
Kama chekechea ndio kaandika dah..
 
Angemtaja huyo kigogo ningemsaidia miaka 5 gerezani
 
GWAJIMA BANA!!! unadhani ni rahisi sana kuwahadaa watanzania wa kizazi hiki? mimi nimeshatoroka kanisa yako, hunipati ng'oo.
 
Pdidy taja source ya hyo habar.
Kama ni radio basi itaje jina,kipind na mtangazaj wake.
Naona umekuja kumsafisha baba askof.

Ila Leo umejitahd kuandika mwandiko mzur
 
Ndio hapo sasa? Gwajima anataka ajisafishe.hasafishiki ng'o.

mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.
 
mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.

Kajilipue mwenyewe.
 
Hujamtaja huyo kigogo na wala aliyasema hayo katika redio gani....uwongo mtupu
 
Mungu awarehemu hawa watumishi wa mungu mr&mrs Mbasha warudi kama zamanii
 
Back
Top Bottom