Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

hiyo radio itakuwa inaishia Magomeni!, pididy mwambie aje aseme mwenyewe Mbasha hapa...mwambie mliyenituma nimetimuliwa jamvini na wastaarabu.
 

Ngoja nikanunue panadol,kichwa kinauma sana kutokana na kusoma haya maandishi.
 
Ndo yaleyale ya kukodiwa kwajili ya kulia msibani!!!
 
mapenzi siri ya mtu fumbo kwa wengi

wanajuana wao wawili sie wengi watazamaji tu

ila mbasha atakuwa amemis TAAM ,love is like heaven but it hurts like hell gashhh
 
mapenzi siri ya mtu fumbo kwa wengine

wanajuana wao wawili sie wengi watazamaji tu

ila mbasha atakuwa amemis TAAM ,love is like heaven but it hurts like hell gashhh
 
"njoooo!njoooo!,binti ulikuwa wapi?nilikuwa mapangoni.Ulikuwa unafanya nn?nilikuwa nakula pumba na damu.mxiuuuuuuu!!!!hovyo sana
 
Mbasha umetishwa na genge la Gwajima eh. ......unataka kubadili uelekeo wa sinema.
Umepewa pesa na Gwajima? Usiuze utu wako philosophy kuwa Gwajima ni masihi Mungu ndo atadeal naye ndo chanzo cha ufuska na tamaa za Gwajima kwa wake za watu. Wasikudanganye kesi itaisha ukibadili uelekeo - sema ukweli.
Gwajima kavunja ndoa nyingi kwa kisingizio cha nafasi aliyonayo kanisani kwake na kutokuambiwa ukweli si na mke tu kwani hata washauri wanaomzunguka. Aibu kwa kanisa. !
 
mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.

Saafi umenena mkuu uko kwa wachungaji wazinifu hakuna kitu bora sie masheikh wetu safii wanajiheshim na kumuogopa mungu wa kweli
 
Ha!ha!ha! huyu jamaa ni kigogo wa misukule afu uyo mtoa mada alikuwa msukule porini gwajima kamtoa uko
 
"njoooo!njoooo!,binti ulikuwa wapi?nilikuwa mapangoni.Ulikuwa unafanya nn?nilikuwa nakula pumba na damu.mxiuuuuuuu!!!!hovyo sana


Haaaah, niwasaidie source ya habari maana pididy ametoroka, Ni Radio kawe jijini dasalama
 
Wakubwa bwana! Ucishangae Mbasha akiibuka na kusema mzee wa hammer hahusiki kabisa na mgogoro huu! Ucicheze na pesa hata kdogo!
 
Halafu inaonesha jamaa ndo alikuwa ameolewa na mke wake anahofu sn hatima ya maisha yake

Hata mi hilo ndilo ninaloliona coz mtu anataka ukafie jela then we unasema eti unampenda.anaona hana future bila florah. Ngoma ikivma sana hupasuka maana kila sehem wako wote sijui hata jama alvokula uroda mwnzie alikuwa wapi coz hawaachanagi hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…