Wakati sakata la flora likiendelea na bwana wake
mh mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili
aendelee na uhuni wake na m h mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini
wakati wengi wakiongea mara gwajima mara nani...mr mbasha amefunguka na kusema
anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka
ni lazima afe na huyo kigogo liwalo na lile
mh mbasha akaenda zaidi na kusema zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na
kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae
kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda na sasa ameamua amfunge ili aendeelee
na uhuni wake
naamini mh gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na flora
nilisema na nitarudia tena sakata zima la flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua
src na upumbavu unaoendelea juu yakee
akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema
ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19
ujue hata mchezo wanaocheza awana uhakika wanachoongea
mwisho wa siku nawaambia watanzania mungu yupo na ukweli utafika utajulikana na mungu atajiidhihirisha kwa hili
ahsanten
nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili