Mnhh haya mambo nikuwaachia wao wenyewe wajue wata solve vipi , ndoa na iheshimiwe na watu wote but kwenye hizo drama zao embu wamuache Mungu.
pdidy hawezi kunyoosha maelezo hivi hata siku moja, hii atakuwa kaicopy kutoka kwenye blog na kupaste hapa. I bet $100.
We nyadu tu!zxx
huitaji utaalam kujua huu ni uongo uliotungwa kwa lengo la kumlinda mchungaji
Mkuu hbr yko mbna iko nusu nusu mi naomba unambie v2 vifuatavyoWakati sakata la Flora likiendelea, bwana wake Mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili aendelee na uhuni wake na jamaa mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini wakati wengi wakiongea mara Gwajima mara nani.
Mbasha amefunguka na kusema anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka ni lazima afe na huyo kigogo liwalo.
Mbasha akaenda zaidi na kusema kuwa tokea zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda.
Sasa ameamua amfunge ili aendeelee na uhuni wake. Naamini Gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na Flora.
Nilisema na nitarudia tena sakata zima la Flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua chanzo na upumbavu unaoendelea juu yakee.
Akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19.
Ujue hata mchezo wanaocheza hawana uhakika wanachoongea mwisho wa siku nawaambia watanzaniaMungu yupo na ukweli utafika utajulikana na Mungu atajiidhihirisha kwa hili, Ahsanten.
Nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili.
acha akili mbovu ww,mambo ya mama yanafikaje tena humu?kuwa na adabu kijana
Ukiangalia maisha ya waimbaji/wasanii wengi wanawake hawaishi na waume zao !!!!! Kwa hiyo inawezekana na huyu mke wa jamaa anafuata trend hii.
We utakua Isha mashauzii
Lakini kwa hawa hatujui wat really happened behind the scene hapa tunasikia upande wa mme vipi wa mke na yeye anajiteteaje, lakini yote kwa yote kua maarufu ni shida aiseee.
Pdidy taja source ya hyo habar.
Kama ni radio basi itaje jina,kipind na mtangazaj wake.
Naona umekuja kumsafisha baba askof.
Ila Leo umejitahd kuandika mwandiko mzur
Pididi mbona huandiki vizuri,una matatizo gani kwani?
Pdidy taja source ya hyo habar.
Kama ni radio basi itaje jina,kipind na mtangazaj wake.
Naona umekuja kumsafisha baba askof.
Ila Leo umejitahd kuandika mwandiko mzur
Kwa ufupi inasikitisha sana. Nawafahamu hawa jamaa, ni majirani zangu.