Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Kwa hiyo Mbasha kathibitisha kuwa The bold ni muongo?

Mkuu weka Source!
Radio gani?
Kipindi gani?
Siku gani?
Tarehe ngapi?
Saa ngapi?

Samahani lakini.
 
Last edited by a moderator:
Jamaa amepewa post aibandike, kaandikiwa na mtu (labda ni Gwajima mwenyewe) aje aiweke JF.

Pdidy hawezi kabisa (namaanisha) kuandika vizuri kiasi kile, ukitaka kuhakiki angalia post no 11 na 18 ndio utaelewa ninachomaanisha.
Kwenye muandiko mimi na kuunga mkono lakini je hayo yaliyo ongelewa na Mbasha ni uongo?
Lakini ni vyema akaweka source na hiyo Radio.
 
Dah kumbe unawapata kimtindo, ni kweli inasikitisha sana walikua wanapendana.

Hawa jamaa siku moja walipiga songi mbele yangu live, nilitamani na mimi na wife siku moja nipige songi pamoja nao, shetani hana likizo ndugu zangu.
 
Hawa jamaa siku moja walipiga songi mbele yangu live, nilitamani na mimi na wife siku moja nipige songi pamoja nao, shetani hana likizo ndugu zangu.

Hahahahaaa:sly: unavituko wewe eti shetani hana likizo, mambo mengine bana minaona hata shetani anatushangaa kwa tunayoyafanya.
 
Hvi yule dada tuliyewekewa hapa anaesadikika kabakwa anaitwa nani vile nataka ni mgoogle
 
Uislamu huu wa boko haramu,alshababu na alqaida au ni upi unauongelea? Hiyo ni dini ya k.u.z.i.m.u..



UOTE=peri;9740667]mchafu ni mchafu tu, hasafishiki.

HAO NDIO WACHUNGAJI WENYEWE UPAKO UNABII NA NGUVU ZA UFUFUO PTUUUUUU....

KARIBUNI KWENYE UISLAM DINI YA HAKI, MPATE AMANI NA SALAMA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.[/QUOTE]
 
Pididi mbona huandiki vizuri,una matatizo gani kwani?

Mkuu hbr yko mbna iko nusu nusu mi naomba unambie v2 vifuatavyo
ni redio gan, taja jina,
kipind gan katka redio
na ilikua saa ngapi
Angalizo usitaje redio ninayofanyia kazi kwasababu ntakuumbua
Lengo ni kupata ukwel cna nia yoyote mbaya
ukitaja hvo mi ntahakikisha nakpata hcho kpndi kwasabab nafahamiana na watangazaj weng hpa mjin kutkana na kufnya nao kaz, alafu nakileta hpa jf ili utata utoke

Mkuu ndo umemkimbiza Pdidy harudi tena, nani anapenda kuumbuliwa??

Pididi mbona huandiki vizuri,una matatizo gani kwani?

Kwa hiyo Mbasha kathibitisha kuwa The bold ni muongo?

Mkuu weka Source!
Radio gani?
Kipindi gani?
Siku gani?
Tarehe ngapi?
Saa ngapi?

Samahani lakini.

Hakuna ukweli wowote maana hana jibu la swali lolote ulilouliza.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nilisikia nadhani ni radio one jana saa nne asubuhi.
 
Kwakweli Pdidy nilikuwa nakuheshimu lkn kwa tope hili ulilojipaka no way out.
 
Last edited by a moderator:
Wakati sakata la Flora likiendelea, bwana wake Mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili aendelee na uhuni wake na jamaa mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini wakati wengi wakiongea mara Gwajima mara nani.

Mbasha amefunguka na kusema anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka ni lazima afe na huyo kigogo liwalo.

Mbasha akaenda zaidi na kusema kuwa tokea zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda.

Sasa ameamua amfunge ili aendeelee na uhuni wake. Naamini Gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na Flora.

Nilisema na nitarudia tena sakata zima la Flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua chanzo na upumbavu unaoendelea juu yakee.

Akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19.


Ujue hata mchezo wanaocheza hawana uhakika wanachoongea mwisho wa siku nawaambia watanzaniaMungu yupo na ukweli utafika utajulikana na Mungu atajiidhihirisha kwa hili, Ahsanten.

Nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili.
Angemtaja huyo kigogo ajulikane moja kwa moja kama ni kweli
 
P.didy wewe si ni mmoja wa washirika wa Gwajima!! huwezi kumsafisha huyo kiongozi wako kwa hili
 
Back
Top Bottom