Kiukweli bila kuhukumiana maana wengi tu wadhambi,wazinzi wa kila namna n.k....mwana ndoa kumfanyia hivi mzazi mwenzio uliyelala nae kitanda kimoja kwa miaka zaidi ya 10....uliyeshiriki nae shida na raha zote....alafu ukaamua kubariki hatua kama hizi kwa mke/mmeo hata kama si wewe moja kwa moja....lazima uwe na roho ya aina yake.......
Nimeangalia picha za jamaa pale mahakamani inatia huruma sana.....sijui Flora anajisikiaje!! What ever the mistake done......wana ndoa wanazo namna ya kumaliza tofauti zao na hekima na mapenzi ya kweli Flora alipaswa kusimama kizimbani na mme wake........ndio ndoa....ndio kufa na kuzikana......ndio kuvumiliana....nyie ni mwili mmoja....ndio maana mnakaa uchi kila mmoja akimjua mwenzake na kusitiriana.....ndio maana zipu ya baba ikisahaulika kufungwa mke anakimbilia kumsitiri mume.........hakuna namna ya Flora kujitetea kwa namna alivyoshughulikia swala la mume wake na kumuanika kwenye vyombo vya habari.......Flora unajua mama na baba yako wamefichiana mangapi? vipi baba yako angeishia jela kupitia mikono ya mama yako kwa issues kama hizi? kwanini ufanyie hivi watoto wako ambao huyo ni baba yao?
Kwanini zimekosekana kabisa hekima kumaliza hili.....sawa wengine mtamuita Gwajima majina yote lakini ni mtumishi wa Mungu na hawa ni kondoo wake tena wakaribu sana....kwanini haikutumika hekima kuhoji na kusuluhisha ikibidi hata kwa kutumia wachungaji ambao Emma anaweza kuwa na imani nao?
Ndio huyo kiongozi..
Shule muhimu sana aiseeee
Mjukuu wa askofu una mamlaka ya kuhukumu?
Kuwa mjukuu au mtoto wa ASKOFU MOSES KULOLA (R.I.P)
siyo sababu; Yule mzee alisimama kwa imani yake;
Flora na mumewe Mbasha kiukweli nilikuwa nawaonea wivu sana kwamba ni ndoa iliyo imara;
Tatizo ni huyo mwanamke; na kama aliamua kufanya uhuni ni kwanini amwingize mumewe kwenye matatizo makubwa kama haya.
Kwa imani yangu malipo ni hapa hapa duniani, Mbasha atateseka ila na flora ataishia pabaya zaidi.
Mungu yupo na neno lake lii hai siku zote.
Yeye katoa ushauri kwa Flora, hajamhukumu!
Kuwa mjukuu au mtoto wa ASKOFU MOSES KULOLA (R.I.P)
siyo sababu; Yule mzee alisimama kwa imani yake;
Flora na mumewe Mbasha kiukweli nilikuwa nawaonea wivu sana kwamba ni ndoa iliyo imara;
Tatizo ni huyo mwanamke; na kama aliamua kufanya uhuni ni kwanini amwingize mumewe kwenye matatizo makubwa kama haya.
Kwa imani yangu malipo ni hapa hapa duniani, Mbasha atateseka ila na flora ataishia pabaya zaidi.
Mungu yupo na neno lake lii hai siku zote.
Ni muda sijaingia humu ni imani mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa
sijui niseme ni umbea au nn coz hata mm ninayo yangu lakini siyasemi
Ishu ya ndoa ya flora mbasha na mumewe kudaiwa kubaka imenigusa sana kwa kuwa na mm ni mjukuu wa askofu labda
Kama kuna yyte mwenye ukaribu na flora amwambie aungane na mumewe wamalize kesi yao,hakunamkamilifu kati yao lakini kikubwa wanasababisha jina la huyu Mungu wetu litukanwe
Nashindwa kuelewa ni Mungu yupi huyo flora anaemwimbia ni aibu gani hi ??
Kama flora alishamchoka mumewe wangeachana tu kivingine iwe emanuel amebaka au hakubaka isingetakiwa ifike hapo ilipofika
Kwako flora acha ujinga, Muogope Mungu,ungana na mumeo mumalize haya mambo
Hivi kama jamaa kabaka kweli ina maana aachiwe tu hivi hivi? Vipi haki za yule binti wa miaka 17 anayedaiwa kubakwa? je angekuwa binti yako au mdogo wako ndiye aliyebakwa mngebaki na msimamo huo huo kuhusu huyo Flora? Mimi nadhani mahakama ni sehemu sahihi ya kutoa haki. Kama kweli hajabaka bali amesingiziwa tu basi haki itapatikana na ataachiwa huru. Huyo Mungu unayedai anatukanwa ndiye aliyesema USIZINI na imeandikwa hivyo kwa hiyo wanaojitukanisha ni wale wanaojiita waumini wala siyo Mungu. Ndio maana kwenye ukristo hakuna vita ya kumtetea Mungu kwani hahitaji msaada wa mwanadamu kwa lolote lile.