Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

We TAMKO baada ya kuchwana kule kuwa Gwajima anahusika ndo unakuja kuanzisha uzi huku.....

Gwajima ndo injinia wa kuua ndoa ya Flora....Gwajima ndo alikuwa anamla Flora....

MUNGU akusamehe hujui usemalo
 
Last edited by a moderator:
Mzee wa Hummer ameshaona kuwa heshima yake mtaani ipo mashakani imebidi aje kujisafisha.... ha ha ha.... najaribu kuufikiria mgegedo wa mzee wa hummer, sijui atakuwa na muhogo kama wangu au kibamia.... ha ha ha
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..



Mkuu usichanganye ku act Ze Comedy kanisani na real life. Wewe hujuwi kinachowasibu hawa watu wanaporudi nyumbani kwao baada ya ku act Ze Comedy yao makanisani na mbele ya kadamnasi. Wale ni wapenzi na kumbuka pia Flora alishatembea na Gwajima, hivyo kama mume alimgeuzia kibao Flora na kumdanganya nilifanya vile ili kulipiza kisasi kwa wewe kutembea na Gwajima na wakayamaliza wenyewe kwa wenyewe kisha kurudi kanisani kuendelea kuwadanganya nyie mliwao, sitoshangaa. Mapenzi ni kitu kingine hivyo usikurupuke tu kuandika eti kwa sababu umewaona kanisani wanaimba na kushikana viuno huku wakiyaruka mayenu na nyinyi mnashangilia na kuwatoza pesa. Ogopa sana watu wanaojifanya wapenzi wa dini for they are capable of doing evil things at any given moment. Kumbuka binadam ni kiumbe dhaifu sana na tupo hapa kila kukicha ndani ya mtihani na majaribio mengi tu toka kwa kijana shetani. Upo hapooooo?
 
hatari kweli kwelili huyo bimama hana watoto kweli kama anao baaaasii ni wa gwajima munyama
 
Mzee wa Hummer ameshaona kuwa heshima yake mtaani ipo mashakani imebidi aje kujisafisha.... ha ha ha.... najaribu kuufikiria mgegedo wa mzee wa hummer, sijui atakuwa na muhogo kama wangu au kibamia.... ha ha ha

Hii movie tamu sana, yani wakimchafua Mbasha na G anachafuka, kwa hiyo wanahaha kumsafisha ili na G atakate.
Na tuache movie iendelee!
 
Mungu ponya kanisa lako linaangamia uuuh!
 
Kwahiyo Hata Taarifa Ya Kamanda Wa Polisi Maerita Ni Za Uzushi? Hata Rb Namba Ya Polisi Nayo Ni Uzushi? Kwahiyo Hata Sauti Iliyorekodiwa Mbasha Akimuomba Msamaha Nayo Ni Uongo? Kwahiyo Hata Mdogo Wake Na Mbasha Alipoenda Kuonana Na Mhariri Wa Magazeti Ili Habari Isiandikwe Magazetini Kwani Suala Hilo Wanalijadili Kifamilia Nalo Ni Uongo? Hv Kwanini Usiseme Baada Ya Kuona Mch. Gwajima Nae Alikuwa Anaingia Hatiani Kutokana Na Kitendo Chake Cha Kumpangia Hotelini Frola Sasa Ameamua Kuzima Soo Kwa Kutoa Rushwa Kumaliza Kiaina Huko Polisi?Kwamba Vikao Vya Kifamilia Vimekaa Na Kumariza Kiaina?
 
Jamani naeza pata wapi link ya kuona jinsi alivyojitetea!@/@^!&
 
Wanaume wengine wanabaka house girls na mashemeji kila kukicha sema tu media haijawaandika. Ambaye hajaitenda ndoa yake na mchepuko wa aina yoyote na anyanyue jiwe ampige Mbasha.
 
hayo ya mungu wewe kaisari jadili mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom