Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Wakati sakata la Flora likiendelea, bwana wake Mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili aendelee na uhuni wake na jamaa mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini wakati wengi wakiongea mara Gwajima mara nani.

Mbasha amefunguka na kusema anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka ni lazima afe na huyo kigogo liwalo.

Mbasha akaenda zaidi na kusema kuwa tokea zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda.

Sasa ameamua amfunge ili aendeelee na uhuni wake. Naamini Gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na Flora.

Nilisema na nitarudia tena sakata zima la Flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua chanzo na upumbavu unaoendelea juu yakee.

Akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19.


Ujue hata mchezo wanaocheza hawana uhakika wanachoongea mwisho wa siku nawaambia watanzaniaMungu yupo na ukweli utafika utajulikana na Mungu atajiidhihirisha kwa hili, Ahsanten.

Nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili.
 
angemtaja huyo kigogo, ili tuujue ukweli kabisa wa mambo yote.
 
Jamaa anatafuta Sympathy kwenye media?,. Atulie kwanza na hii habari kwani ishakuwa exposed vya kutosha!!

Apange maisha yake kama mkewe kaamua kumuacha,. Life is too short haina haja ya kuishi na stress,.
 
Pdity nawe umeingia kumsafishi mtakatifu gwajima?
Weka sosi basi,
 
Ah ah duh...jamaa si kama amekubali kosa la ubakaji..ila sio minnor au?....(kweli ndo maana wazungu polisi wanasema "you have the right to remain silent?)
 
Wakati sakata la flora likiendelea na bwana wake

mh mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili

aendelee na uhuni wake na m h mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini

wakati wengi wakiongea mara gwajima mara nani...mr mbasha amefunguka na kusema

anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka

ni lazima afe na huyo kigogo liwalo na lile

mh mbasha akaenda zaidi na kusema zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na

kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae

kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda na sasa ameamua amfunge ili aendeelee

na uhuni wake

naamini mh gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na flora

nilisema na nitarudia tena sakata zima la flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua

src na upumbavu unaoendelea juu yakee

akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema

ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19


ujue hata mchezo wanaocheza awana uhakika wanachoongea

mwisho wa siku nawaambia watanzania mungu yupo na ukweli utafika utajulikana na mungu atajiidhihirisha kwa hili

ahsanten

nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili

huitaji utaalam kujua huu ni uongo uliotungwa kwa lengo la kumlinda mchungaji
 
huitaji utaalam kujua huu ni uongo uliotungwa kwa lengo la kumlinda mchungaji

Pole sana kama imeongelewa kweli kama tulivyosikia basi ukambake jiraniyako na aibuu hii iweduniani sio tanzaniapekee
 
utashangaa, ugomvi wote huo mwisho wa siku kumbe ni kiki ya kutoa ALBUM..!!
 
Jamaa anatafuta Sympathy kwenye media?,. Atulie kwanza na hii habari kwani ishakuwa exposed vya kutosha!!

Apange maisha yake kama mkewe kaamua kumuacha,. Life is too short haina haja ya kuishi na stress,.

Nikweli mkuu na hili nilileweka waziii kulee pengine mbasha bado ajaelewa msimamowamkeewee nannahisinaitaji mshauri badallaykuamua maamuzi yake mwenyewe kwanini nasema hivyo

Akiongea redioni anasema akimpgia flora flora anamwamwambia aitaji kuongea nae mpaka aendekujisalimisha amalaa a nahakikisha anafia jela



Hapohapo anasema anampenda mkeewe na atahakiksha ndoayake inarudi kama ilivyokuwa

Ni kujiuliza tu unaambiwa utahahakikishiwa unafia jela tenabkamtajia na Teresa sio segerea unavyojua wewe keko

Sasaa kuna mke hapo.....kunahaja ya kuhangaika zaidi
Apatemshauri wakympamawazo yakukubalu now ndoa is no more afight amalize tatizo aanze
 
Back
Top Bottom