DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
flora nampenda sana kipindi yupo london nimefurahi naye sana
bila shaka wewe ndiye gwajima mwenyewe,tafadhari jibu tuhuma za kumgegeda frola zinazokukabili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
flora nampenda sana kipindi yupo london nimefurahi naye sana
Kufuatia kukumbwa na kashfa nzito ya kudaiwa kutembea na kiongozi mkubwa wa kanisa pamoja na kutaka kushiriki katika njama za kumfunga mume wake, waandaaji wa huduma na mikutano mbalimbali ya kilokole, wanasema hawamuhitaji tena Flora Mbasha katika mikutano yao.. Hoja yao ni kwamba, waumini wa makanisa ya kilokole wamelipokea suala la kashfa ya Flora kwa uzito mkubwa sana na amekosa kibali cha Bwana machoni pao..Hii ni changamoto kubwa sana kwa Flora Mbasha na kama kinachosemwa kina ukweli ndani yake basi hana budi kukaa vizuri na Mungu wake.
Walokole kwa uzinzi na majungu
Bluetooth..
Mi naona bora walokole wanakulana watu wazima kuliko mapadri wakatoliki wanaolawiti watoto wadogo. Mi kwangu kama wanakulana ila watu wazima sina shida nao,ila wale wanaohujumu watoto wadogo ni hatari zaidi.
Wote mnaozua huu uzushi ni mahasimu wa Flora Mbasha.
Mleta mada unapodai waumini wa kilokole wamepokea suala hilo kwa uzito mkubwa, hao walokole ni pamoja na we we? Kama sivyo nani amekupa mamlaka ya kuwalisha walokole takribani milioni 11 kuwasemea kuwa wamepokea suala hilo kwa uzito mkubwa? Acheni uzushi kama hamumpendi Flora na maendeleo yake hamumpendi tu!
Muimbaji INJILI Tz alikuwa Munishi tu, wengine wote wanacheza makida makida...
Siasa za dini!!!
Hebu tutajie hao mapadri waliolawiti watoto wadogo hapa Tanzania maana walokole wazinzi tena wachungaji wakuu tunawajua Gwajima na Mwasumbi... Ongea na mifano sio maneno matupu, au leta hata ushahidi wa kimazingira
Ina maana hujui kua mapadri wanalawiti watoto wadogo? Mapadri karibu ulimwenguni kote wanalawiti watoto,hata papa amekiri hilo kua mapadri ndio wanaongoza kwa kuwadhulumu watoto wadogo,wao ni hatari maana wanaharibu kizazi cha kesho..
Ina maana hujui kua mapadri wanalawiti watoto wadogo? Mapadri karibu ulimwenguni kote wanalawiti watoto,hata papa amekiri hilo kua mapadri ndio wanaongoza kwa kuwadhulumu watoto wadogo,wao ni hatari maana wanaharibu kizazi cha kesho..
Mbona mashekh nao wanabaka watoto wadogo nakulawiti !
Ilihali wameruhusiwa kuoa wake watatu sijui akili zao zikoje !
afrokija: Sheikh abaka mtoto wa miaka 8
Umenikumbusha kile kibao cha 'Namlilia Malebo' alichoimba Munishi.
Muimbaji INJILI Tz alikuwa Munishi tu, wengine wote wanacheza makida makida...