Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Umefikiri tofauti, shida kwenye matatizo tunakimbilia kulalamika na kushutumu, bila kuangalia scenario nzima ya hiyo kauli, inawezekana mwanamke ndio anashinikiza huo uwepo wa hayo mahusiano, ila jamaa amekuwa wazi kwa kuongea ukweli wake, siungi mkono ujinga wake.Mnaishi maisha gani hayo,au ulijipeleka mwenyewe yeye hakuwa na mpango nawewe anafanya ivyo ili uchukie uondoke,maana hamna ndoa hapo