Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?

Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?

Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.

Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.

Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"

Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
Km amesoma kwaajiri ya ndugu zake Basi angeoa hata binamu yake kipato kisiende mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.

Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.

Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"

Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
lady in action , take action my dea

Sent from my Tapatalk
 
Ndoa nyingine ni kifungo tosha pole sana,muhimu kaongea ya moyoni jishuhulishe ndugu.
 
Naomba nikuwoweee maana na mimi nina kamwanamke kananijibu ujinga sana
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.

Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.

Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"

Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tabia zimeanza baada ya ndoa? Lazima kuna red flags ulizifumbia macho maybe kwakuwa ulihitaji ndoa. Hayaibukagi tu hayo.
Sasa tayari mko kwa ndoa tumieni hekima na busara kutatua changamoto zenu. Kaa zungumza na mwenzio kwa hekima, yawezekana anatoa hayo majibu kutokana na namna unavyoliwasilisha hilo tatizo kwake.

Tafuta muda ambao mmetulia, hana stress ikibidi mtoke kabisa home mwende sehemu tulivu. ZUNGUMZENI.
 
Hapo hapo ndipo ulishindwa kumwelewa aliyekupa stori ama ndipo pia uliposhindwa kumwelewa anayekataa kukuhudumia.
Kwa sababu umeonesha nia ya kusaidia
Pole sana, unapitia mengi, natamani ningeweza saidia



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu nyingine mtoto, mtoto, mtoto....mwanaume aweza kuwa hajali lakini ukishamzalia utashangaa anahudumia kila kitu.
 
Nilikuwa nakuonesha kuwa bibie shida yake ni ya muda, kwa huyo kwa msaada zaidi nikaweka link ya uzi wake huo

 
Je unajishughulisha na kazi yoyote, au wewe ni mlemavu?

Kama sio mlemavu usisubiri kudaka kama golikipa, usisubiri huduma, jihudumie, ikibidi hudumia familia

Siku ukiomba mtaji (kama huna chanzo cha mtaji) akikujibu hivyo, njoo na thread ya kutuomba ushauri

Kuna dada ninamfahamu, yeye ndio ananunua chakula nyumbani na mwanaume hana hata muda, sasa hivi anawaza ada ya mtoto anayeanza kidato cha kwanza mwakani, mwanaume wala hana habari

Wakati unalalamika huna viatu, kumbuka kuna wengine hawana hata hiyo miguu ya kuvaa viatu
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.

Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.

Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"

Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nakusanya kilichochangu kama tabia ni sugu na hana dalili ya kujirekebisha wala siagi natembea na bwana yann kujikera nafsi

Heri uishi pekeako ila kwa raha kuliko kuishi na mtu ila ni kwenye kero, manyayaso,maudhi

Hata mwizi huwa anaaga
 
Ila kina mama huwa mna uvumilivu mkubwa sana aisee. Hivi mtu hadi anakujibu hivi unasubiri nini tena akwambie ili ujue hamna ndoa hapo?

Alisoma kwa ajili ya ndugu zake tu dah!

Hivi raha ya kuolewa ni ile kuvaa shela na kulala kitanda kimoja na mwanaume bila woga au ni ile tu watu wakiona waseme Lady in action kaolewa bwana, ana mume. Hizi ndio maana pekee za kuolewa hivi? Mbona hapo hakuna hata maana moja ya kuolewa?
Mada Kama hii akijibu hivi mwanamke kuna majitu inakuja kumshambulia eti Kama hajaachika basi ni single mother mzee 😂 😂 😂
Ngoja nipite kimya.
 
Bidada anamaduka yake ya dawa 2 jamaa anahakikisha anasimamia

Iko hivi bidada anamaduka 2 ya dawa ambayo moja alikutwa nalo wakati anOlewa lingine walipohamia mkoa mwingine jamaa akafungua jingine
Matumizi Kama chakula anatoa jamaa
Kuhusu kununua vitu Mara nyingi hela inatoka dukan bidada akiwa na shida mume anasema hana hela na hawez kuchukua kwenye biashara sababu zinamahitaji ndani,, akijaribu kumwambia tuweke mtu dukan Mimi nikafute kazi sababu bidada kasomea mambo ya pharmacy jamaa anamkataza
Jamaa anapata c chini ya mil 3 kwa mwez alivyojaribu kuhoji hela zako unapeleka wapi
Ndio majibu hayo aliyojibiwa
Ndo wanaume walipofikia siku hizi...
 
Back
Top Bottom