Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hapo mashosti wanakucheka umeachwa unashangaa. Juzi nilienda kwa shosti yangu kaolewa huu ni mwaka wapili mie nikazani anaraha . Kumbe nikaraha huyo mwanamme alimsilimisha akawa muislamu. Halafu akapata watoto naye .
Baada yakupata watoto wakike hao ni mapacha. Akanza vitimbi akaoa bila ya ridhaa yake. Akamleta mke wa pili sasa wapo wawili . Huu ni mwaka watatu yupo humo ndani kwenye chumba chake. Sasa huyu baba anaoa tena wiki ijayo na atamleta mke ndani.
Hivi shida huwa nini?
Niambieni jamani?
Akaanza vitimbi