Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👆🙌 Wako vzur kama familia... Tabia = matendoMmewahi kumuona mzee wa watu akijionesha hovyo hovyo kwa sababu ya wadhifa wa mkewe?
😂😂.. Umuombee kama wewe nimtu wa ImaniKila nimemsikia Marehemu Magufuli akilalamika kuhusu kazi za Uraisi zilivyo ngumu
Namshauri Mama Samia ajifunge kibwebwe kazi imemtafuta yeye
🤣🤣🤣Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini...
Wataenda wote jikoni anapewa kiti anakaa pembeni huku walinzi mama na mpishi wana kaangizwa urojo.Unakuta mzee anamwambia hawezi kula chakula kilichopikwa na house girl.
Alikua nae ila mama alipokula umakamu system ilimtaka aachane na Yule mwingineAah hawezi kukubali ku over take lorry la mshahara.
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dahNa pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini...
Ni ngumu sana, kuna kupigiwa simu saa nane usiku ukiwa usingizini. Kuna matukio hayawezi kusubiri kukuche.Kila nimemsikia Marehemu Magufuli akilalamika kuhusu kazi za Uraisi zilivyo ngumu
Namshauri Mama Samia ajifunge kibwebwe kazi imemtafuta yeye
Hv system inaweza kukuachanisha kweli wakat dini inaruhusu?mbona mstaafu mwinyi ana wake wawili na jamii inajuaAlikua nae ila mama alipokula umakamu system ilimtaka aachane na Yule mwingine
Ila mzee mpaka apate papuchi dah atakuwa anaipata kwa nadra Sana,yan ile maliza basi nna kazi nying hahahaAah hawezi kukubali ku over take lorry la mshahara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini...
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Nimecheka!!Wataenda wote jikoni anapewa kiti anakaa pembeni huku walinzi mama na mpishi wana kaangizwa urojo.
Sio unaweza kukuta, Ndio mtanzania wa kwanza kugonga RaisHuyu mzee unaweza kukuta ndie Mtanzania wa kwanza kugonga Rais aliye madarakani!! JK na ujanja wake wote, kazidiwa na huyo mzee anayeonekana wa kawaida tu!
Akitaka ahame tzMfumo dume unakutafuna, pole sana.
Kumbe alikuwepo? Haya mapenzi wakiwa pembeni lazima siri aambiwe na mdogo pia duuAlikua nae ila mama alipokula umakamu system ilimtaka aachane na Yule mwingine