joel philipo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 242
- 180
[emoji3]Kwahiyo ikitokea kitu kinahusisha wake za marais kutembelea miradi fulani inabidi na mzee awepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Kwahiyo ikitokea kitu kinahusisha wake za marais kutembelea miradi fulani inabidi na mzee awepo?
Huu ndio uhuru wa mitandao tunaoutaka?mnatuharibia sana.Kumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
kabisa me nafurahi sana maisha ya hivyoYaan mapenzi ni two way trafic mkuu...utaheshimika kama na ww unamthamini mkeo/mumeo nawe atakuthamini popote pale...kifupi hapo anarudisha wema....
Majukumu yangu nitafanya bila shida yeyote wala shida yeyote, mliwahi ona makamu wa shule mmewe alikuwa anamkataza akiitwa na mkuu wake labda kuna dhalula shuleni na shule yenyewe ya bweni mama wawatu alikuwa anatoka kwa lazimaHahahhahhaahahaa....utaachika shauriro..na wanawake wa kiafrica tunaamini sana kwa ndoa ..yelewiii
This is an insult. Hata mkeo inaonekana umamdharau sana kisa anachuchumaa akikojoa. Hao waliosimama wakakojoa walitupeleka wapi? Ndiyo maana katika hotuba mama amediriki kusema wazi tuanze upya na tusameheane na tupone. Siyo mjinga mpaka aseme hivyo.Kumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Na mara nyingi mijaunaume ya namna hii huwa financially iko poa..baa utanyanyasika wewe mwanamke had ujute kuolewa....mie utajuta kunijua ....yaani utashinda ndani umelala..mwez mmoja tu umekondaaa..shenz taipu .shwain kabisaThis is an insult. Hata mkeo imapnekana umamdharau sana kisa anachuchumas alikojoa. Hao walisimama wakakojoa walitupeleka wapi? Ndiyo maana katika hotuba mama amediriki kusema wazi tuanze upya na tusameheane na tupone. Siyo mjinga mpaka aseme hivyo.
bora huyo huyo anayechuchumaa akikojoa kuliko hilo shetani lilokufaKumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Shika adabu yako,unakua Kama hujazaliwa na Mwanamke,au unazani wwe umejiumba kukojoa huku umesimama hadi unadharau jinsia ya kike!!Kumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Tehetehetehe mkuu wewe ni kiboko kabisa.Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini.
inaruhusiwa kwa waislamuMara paap mzee anaoa mke wa pili
Hahhhaha wanawake 20 wanaume 2 kudadekiKwahiyo ikitokea kitu kinahusisha wake za marais kutembelea miradi fulani inabidi na mzee awepo?
Mungu akusamehe kwa maana hujui utendaloKumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
idumu JF😂😂😂mchango wako unaheshimka, asante.
Yeye pia ana mema yake. Sio malaika yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule bwana duu dakika 2 mbele nimecheka kwa sauti, wanawake huwa tunambukia sehemu mpaka mtu anajiuliza hivi mlionana usiku[emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Chalamila pia ana mema yake.Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini.
Wee!Chalamila pia ana mema yake.