Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masanga siyo dhambiKwa mbaaaali alitaka kufanana na john cheyo.
Ila sura hii inaonekana masanga kama kawa
Sawa mganga wanguUmerogwa wewe
Duniani watu wanafananaNi kama alitaka kufanana na Mu7
Eti kitu ya Rais [emoji1787][emoji1787]weweKitu ya Rais hiyooo...
Kitu ya Rais hiyooo...
Cha ajabu kiko wapi? Kwani sisi ni wa kwanza duniani kuwa na rais mwanamke?Hivi anaweza pangiwa ratiba ya kwenda sehemu flan mme nae akasimika usiende huko nakuhitaji atatii ratiba ya serikali au sauti ya mme wake?
Katiba yetu ni kituko dunia nzima, leo mimi rais wangu ni mwanamke ajabu
Comment bora ya mwaka 2021Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu nakuomba usizingue, cheza mule mule kwa Magufuli
Tena azidishe ukali.Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu nakuomba usizingue, cheza mule mule kwa Magufuli
Umewahi fanya nae kazi???.Mama msikivu mnoo na mwenye moyo wa subra
isije ikawa kama enzi za Anna Makinda bungeni, kuelemewa na cheoHivi anaweza pangiwa ratiba ya kwenda sehemu flan mme nae akasimika usiende huko nakuhitaji atatii ratiba ya serikali au sauti ya mme wake?
Katiba yetu ni kituko dunia nzima, leo mimi rais wangu ni mwanamke ajabu