Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Hata Beyonce ana Kanisa lake na yeye ndiye Mungu wa waumini wake.😂😂😂

Biblia inasema shika sana ulicho nacho.
Maandalizi ya Shetani/Lucifer/Ibilisi/666/🤘ya kuuangamiza ulimwengu kwa mateso na dhiki kuu, yanaendelea.
 
Hata Beyonce ana Kanisa lake na yeye ndiye Mungu wa waumini wake.😂😂😂

Biblia inasema shika sana ulicho nacho.
Maandalizi ya Shetani/Lucifer/Ibilisi/666/🤘ya kuuangamiza ulimwengu kwa mateso na dhiki kuu, yanaendelea.
Ila life ya Beyonce na Uwoya ni tofauti mkuu. Huyu mbongo mwenzetu skendo nyingi.
 
Unautaka ubaba mchungaji Irene uwoya!!?
 
Kuna vitu ukoshavifanya duniani vinaharibu reputation yako hata ubadilike vipi tayari jamii ishakuwekea picha flani ambayo mpk unazikwa haitafutika, huyu bora angeendelea na lifestyle yake ya zamani maana ni kama anajikana tu
Wewe unafikiri huyo ni mchafu sana kuliko watu wengi unaowaona??Yaani hao watu wanaojiachia kwa uhuru wana amani kuliko watu wengi wanaofanya uhuni usiku na mchaba kwa kujificha.Tuache kuhukumu watu
 
Acha ujinga
 
Uwoya ana mwili mlaini hadi shida, yani ukimtizama tu unajidisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…