Mume wa Wolper

Duh!! Maombi yangu kama wakibahatika kubebeshana mimba mtoto asifanane na baba yake tu....!!!
Hahahaha rangi ya mama itambeba Alf mama stylish lazm mtot ataonekana cute tu ata afanane na baba ake[emoji1] [emoji1]
 
Hehehe kuzurura tumwachie nani na umbea hao wanaume watatufukuza
Au tuolewe tutoe mikosi etiii
Tuolewe tuheshimike!
Mimi lazima niolewe mitara na wewe ndoa itadumu.
Akizingua tunamchangia.
 
Tuolewe tuheshimike!
Mimi lazima niolewe mitara na wewe ndoa itadumu.
Akizingua tunamchangia.
Hahaha wee mi navyopenda ukuni itabdi uwe unahamia kitandani tunapiga 3some,,zikiongezeka na zako atajutaaa atajua ule msemo mwanaume mashine au laaaa
 
Dah hivi wolper ndio alikua akimchamba marehemu Ndikumana ana sura mbaya.....
Hii sura ya mchumba wake siiongelei namuachia Mungu.
Nafikiri alikuwa ameusahau ule msemo kuwa usitukane mamba...
 
Kwani wakaka wakiwa wanakojoa wanakunja sura?
Hamna bwana ukiwa na pesa hukunji
Weee akiwa na kasura kazuri halaf na mwanya weee utafyrahia,,sasa huyu sijui tumuombee wolpa
 
Hahaha wee mi navyopenda ukuni itabdi uwe unahamia kitandani tunapiga 3some,,zikiongezeka na zako atajutaaa atajua ule msemo mwanaume mashine au laaaa
Alafu utakuwa unanionea wewe,utakuwa unanisukumia mbali.
 
Weee akiwa na kasura kazuri halaf na mwanya weee utafyrahia,,sasa huyu sijui tumuombee wolpa
Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
 
Dah na anapataga wenye sura za kimakon....
Hapa hamo hapa kaka jambazi ni shida
Aache utoto sasa wa kuanika maisha yake
Anataka kuwakomoa haters matokeo yake atajikomoa mwenyewe
 
Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
Ngoja tusubiriee,ndiku na huyu si bora ndiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…