KFC hizo, uwe na shukuraniYaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
Utu uzima dawa. Maisha ni kufurahi, no matter what!!!!Wee baba wee, huachi tu vituko. Kutembea dog style ndio kupi huko?
Umesipuka?KFC hizo, uwe na shukurani
Nahisi neema ilikuwa inatikisika kama enzi zile za GiLeSi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimetembea dog style njia nzima naongea Kingereza
Hukusoma kuwa mmeo DeepPond atampa mamaJ hiyo zawadi?Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
Nkali nndi mmilili gweeUmesipuka?
Uka nkafu ugwe. Nsekile fijoNkali nndi mmilili gwee
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Nipo Mkuu wangu. Vipi una jipya leo?GENTAMYCINE upo bro?
We mama weee, umenifanya nicheke. Sidhani kama yule ndio suspect, maana naona yuko active muda huuHivi Bujibuji Simba Nyamaume huyu mume anaetuhumiwa hapa sio yule jirani yetu anaejiita Genta?
Jana ilikuwaje?Nipo Mkuu wangu. Vipi una jipya leo?
Ilikuwa poa.Jana ilikuwaje?
CoolIlikuwa poa.
Ulipewa shingap baba?Nachukua nafasi hii kuushukuru uongozi wa JF pamoja na wanachama wote kwa tabia hii ya kutambuana.
Inafurahisha kuona tunasheherekeana wenyewe, wakati bado tupo hai, kwa tuzo zetu wenyewe, sio kungojea Oscar, Grammy, Nobel au Pulitzer.
Shukurani sana.
Maxence Melo JamiiForums