Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

GentleMen rule no 2: Never go back to the woman who cheated.
 
Si uliambiwa kama huwezi kuvumilia utoke,sasa kwanini uendelee kuwa kinga'ng'anizi na kuchafua nyumba ya watu kwa umalaya?
 
Ninaona bovu zenu hapa , uwa mnaumia sana wake wenu tukitoka nje lkn nyie unakula tuu nje huko.
Leteni maneno yenu hayo.
endelea tu kugawa utamu mama mrembo, mchuma janga anakula na wa kwao. Punde unaweza ukawaacha wanao yatima na mumeo akienda jela.
 
Kwahiyo nawewe unajitahidi ili umletee wakwako wakiume au we lengo lako nikumalizia nyumba tu wanao wapate urithi!?,

Ila huandai urithi tu lakin pia unajiandalia na sehem yakufikia maana najua ipo siku tu utajikanyaga na atajua.. mzee wa mfumo dume atakutimua alafu hapo atakuja huyo mzaa vidume maana ameshajua shimo linatoa vidume tayari atalitaka alisogeze kabisa liwe ndani..

We endelea na kutafuta vijana wakusaidie kumalizia nyumba.

Alafu we nimpambanaji dada angu mtu akikuvutia tu unajivunia mvuto wako kumuingiza kwenye 18 zako aiseee!
 
Wewe ni mzinzi kiasili hata asingekuwepo huyo mtoto.
Kwani sheria za mirathi uzijui hadi uteseke na kauli za mme wako.
Huyo ni kaka Yao na hao ni dada zake Wana unganishwa na damu.
 
Na hio nyumba unayoijenga ipo siku atajua tu hakuna Siri Duniani,jiandae kwa hilo
 
Msipende kuhalalisha dhambi kupitia dhambi,haya maisha relax kwani nani anajua yupi atatangulia.
Mtoto wa nje anaweza akawa na akili kuliko hata watoto wa ndani na akaja kuokoa na kuisimamia familia familia,mifano ni mingi.
 
""Sijaleta kama sifa ni matokeo ya maumivu niliyopata sikuwa na hio tabia kabisa.""

Nimekuelewa sanaa madam.
Pole sanaaa.

#YNWA
 
Huu ni ukweli mchungu
 
Mme wako anajua kua umekuja kuumiza wanaume humu? Kama una lengo la kuumiza wanaume ambao siyo huyo Mume wako utakua hujafanya Jambo lolote la maana.
 
Unaadhibu dhambi kwa kufanya dhambi? Omba rehema kwa Mungu unafanya dhambi ya uasherati kwa kisingizio cha kuletewa mtoto wa nje. Hapo kwa haraka umetenda dhambi ya chuki Kwa mtoto na baba yake, umelipa kisasi na bado unazini na bado una hasira. Tubu Mungu ni mwenye rehema usishupaze shingo bado Mungu anakupenda sana.
 
pole sana mkuu kwa yaliyo kupata,lakini kabla ya yote jiulize kuchepuka kulipiza kisasi kuna faida gani kwako,tangu umechepuka umepata nini? maana jamaa hajui na haumii,nitoshe kusema tu wewe ulikuwa na roho ya kuchepuka tu sema ulikosa sababu tu,nikuulize tu kama umeibiwa vitu unaweza lipiza kwa kuibia wengine kama huna roho hiyo ya wizi? angalia dada angu usije waacha watoto ya tima kwa uzembe wako maana kwatabia uliyo anzisha matokeo yake nikupeleka ukimwi nyumbani.katika kuchepuka kwako ushapata mtoto wakiume? mali hizo ni mali yako na mume wako kwanini ujiumize? anafanya hivyo kumtambulisha huyo dogo ili ufanye uwezavyo ili nawewe upate mtoto wa kiume.angalizo chepuka ila jamaa lazima atajua tu.na huyo dogo angalia usije ukamuthuru maana shaona shetani ashakamata ufahamu wako.kuzaa utazaa tu mtoto wa kiume halaka ya nini kama unatambulika we ni mke halali wa jamaa?.jamaa akijua ndo kwisha habari yako. n.b ,mtangulize mungu kwa mapito unayopitia
 
Hahahaha Wanawake wanaojionaga wazuri hahaha wanakuaga Wajinga sana kwakweli !!

Wengi wa Wanawake wazuri hawaolewi, wakiolewa ,ujue mwanaume ana Moyo wa uvumilivu sana.


Simnaona Kila Aya anasema "Coz najiamin mie mzuri "πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo hamna kitu na Hana uzuri wowote ni rapurapu(nguo isiyo na ubora au hadhi au thamani sawa na nguo nyingine yenye kufanana nayo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…