Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
Upambanaji wa kuuza uchi!
 
Atakayeumia ni mumeo, na wanao endapo watajua.

Sasa sisi huku JF tuumizwe kwa lipi? [emoji2369]
Labda anazani tunamjua mume wake tutampelekea mastori ya Town tukiwa tuna gonga Vyombo na Mkuu wetu mpya wa Mkoa DSM!!
 
Hope now maumivu ya roho yako yameisha na kama ni kisasi ushalipa now nakushauri utulie tu maana za mwiz arobain na kwa nature ya watu wenye hiyo tabia ya last say hakyamungu utakuja kusababisha mauaji...
,NIPO PALEEE.
 
Miaka kadhaa iliyopita mume wangu alimtambulisha mtoto wa nje katika familia yake ni wa kiume alikuwa ni mtu wa furaha sana na kujisifu kuwa kapata mtoto wa kiume na ndugu zake walimpongeza hasa mtoto alifanana nae. Japo mimi nilibaki na maumivu, kwani nimezaa nae watoto wawili wa kike tuu.
Katika maisha yangu nilipenda kuwa na mwanaume ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu. Ila ijakuwa hivyo. Nimelipokea japo nina maumivu.

Mume wangu ni mtu wa mfumo dume niseme. Akiongea ndani ya nyumba ndo ishakuwa hivyo. Aliniambia tuu mtoto huyu ni wangu na ataishi hapa kama utaki basi waweza ondoka.
Nikasema tuu sawa, basi mtoto tunaishi nae hapa.

Tulijenga nyumba moja tulikuwa tunashirikiana kwa kila kitu kwa sababu mimi nina kazi na mume wangu pia na baadhi ya biashara. Na tulishaanza nyumba nyingine kujenga. Ila nilisimama baada ya tukio hilo lililonipa maumivu.

Nilishangaa sana mume wangu anatabia ya kusema tuu yeye hana uwoga. Anasema kuwa huyu ni mtoto wangu wa kiume ndio atarithi mali zangu kwa kuwa anaendeleza jina langu. Mimi namuangali tuu. Mtoto anapita nae mtaani kwa kujisifu hata mbele ya marafiki zake kwa kuwa mtoto kafananae. Na yeye mali zetu zipo kwa jina lake na mimi hata ushahidi kuwa nimeweka mkono sina ninabaki namuangalia tuu.

Miaka 3 iliyopita kuna kiwanja kimoja aliniachia marehemu Baba kipo kigamboni kule ni kikubwa kiasi. Na mume wangu ajui hiko kiwanja. Ni mimi tu ka ndugu zangu. Sasa nilipigania kuwa niwajengee watoto wangu nyumba pale japo mimi mama yao sina sio tajiri. Nikasema nitapambana tuu. Nilikuwa naweka vipesa vyangu baadhi na kujinyima. Hata pesa ya mume wangu ya matumizi nilikuwa naibana sana.
Biashara zetu na mume wangu nilikuwa nachota kiasi bila mume wangu kujua kabisa.

Nilianza msingi wa nyumba mbili kwenye eneo moja. Nyumba sio kubwa ni vyumba viwili tuu vya kulala, living na dining room, choo na store na jiko. Sio kubwa kivile.

Ilikuwa ngumu sana kwangu kuanza kujenga.
Sasa siku moja nilikutana na Baba mmoja mtu mzima na anamke na watoto wakubwa tuu. Nilikutananae karikoo kwenye nduka moja hivi. Tulizoeana mapaka kupanga nichepuke nae.
Mkewe kuna kipindi nikamjua mpaka nyumbani kwake. Ni Baba mwenye uwezo tuu tena sana.
Mimi ni mwanamke nina mvuto kwa hio niliamini hawezi nikataa yule Baba. Mara nyingi tulikuwa tunakutana kwenye hotel. Nilimueleza shida zangu akasema atanisaidia.

Alinisaidia kumaliza msingi mpaka boma kuisha za vijumba vyangu. Nilijitahidi sana mume wangu asijue kwani yeye namjua reaction yake endapo akijua.

Yule Baba alikuwa ananifurahia sana , ila alikuwa ananionya kuwa kuwa makini mumeo asijue kabisa. Mimi namwambia tuu usijali ni kweli nilijitahidi mume wangu asijue kabisa.
Nilikaanae miaka 2 yote hio niliendelea nae bila my hubby kujua.
Yeye yuko busy na mtoto wake maana namuangali tuu jinsi anavyomuaangaikia. Mwaka jana alinisaidia sana kuwezeka vijumba vyangu.
Ila mwishoni mwa mwaka jana aliamishwa na kwenda Dodoma kikazi na mahusiano na mimi yaliisha.
Nikiri tuu alinisaidia sana yule Baba. Kwa kiasi kikubwa.

Sasa mwaka huu nilikutana na kijana mmoja mgahawa mmoja nilimpenda, nilijitahidi nikapata tukabadilishana namba najua hawezi kunikataa coz mimi ni mzuri najiamini. Niliingia nae kwenye mahusiano. Na sijamwambia kuwa ni mke wa mtu. Japo vijana ni wagumu kutoa pesa ila anajitahidi kiasi chake. Naamini atanisaidia hata kwenye biashara zangu binafsi, coz yeye anaagiza vitu china.

Najua wanaume mnakasilishwa na usaliti kama huu, najua wapo watanitukana na maneno juu. Lkn hata nyinyi ni wasaliti kwa wake zenu, thread zenu za michepuko mnashauriana sana humu jf.

Mume wangu kanipa donda kubwa sana , tena hata aibu anasema huyu ndo mrithi wangu. Yeye ni wale wanaume akisema basi wote mtii.
Namuangali tuu na mwanae.

Sijaleta kama sifa ni matokeo ya maumivu niliyopata sikuwa na hio tabia kabisa.
Mwenye kuleta povu na alete tuu.

Usaliti haulipwi kwa usaliti, kwanini usimwombe taraka tena mapema akiwa hajui mali ulizonazo, ukiwa nje utaenjoy utavyoweza ila jua siku akijua unamali nje atazipata tuu, si wanaume tunaakili nyingi, atakuzidi akili tuu na utakuja kupata anguko saivi anakufanyia hayo yote sababu anajua huna pakushika, all in all maisha mema kwenye ndoa yako tusije kusikia kwenye vyombo vya habari mtu kaua mke wake kisa wivu wa mapenzi.
 
Dah sijui hata Kwa Nini sijakuonea huruma😂😂😂😂😂😂
Una roho ya uchungu na mbaya sana usije mroga mtoto wa mwanamke mwenzio.
Unajisifu uzuri na mvuto huku ndani yako una roho nyeusi.
 
0 brain, sasa watoto wako ukiwajengea kwengine ndiyo unawatoa kutokuwa watoto wa baba yao? Serikali ipime akili za raia wake.
 
Miaka kadhaa iliyopita mume wangu alimtambulisha mtoto wa nje katika familia yake ni wa kiume alikuwa ni mtu wa furaha sana na kujisifu kuwa kapata mtoto wa kiume na ndugu zake walimpongeza hasa mtoto alifanana nae. Japo mimi nilibaki na maumivu, kwani nimezaa nae watoto wawili wa kike tuu.
Katika maisha yangu nilipenda kuwa na mwanaume ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu. Ila ijakuwa hivyo. Nimelipokea japo nina maumivu.

Mume wangu ni mtu wa mfumo dume niseme. Akiongea ndani ya nyumba ndo ishakuwa hivyo. Aliniambia tuu mtoto huyu ni wangu na ataishi hapa kama utaki basi waweza ondoka.
Nikasema tuu sawa, basi mtoto tunaishi nae hapa.

Tulijenga nyumba moja tulikuwa tunashirikiana kwa kila kitu kwa sababu mimi nina kazi na mume wangu pia na baadhi ya biashara. Na tulishaanza nyumba nyingine kujenga. Ila nilisimama baada ya tukio hilo lililonipa maumivu.

Nilishangaa sana mume wangu anatabia ya kusema tuu yeye hana uwoga. Anasema kuwa huyu ni mtoto wangu wa kiume ndio atarithi mali zangu kwa kuwa anaendeleza jina langu. Mimi namuangali tuu. Mtoto anapita nae mtaani kwa kujisifu hata mbele ya marafiki zake kwa kuwa mtoto kafananae. Na yeye mali zetu zipo kwa jina lake na mimi hata ushahidi kuwa nimeweka mkono sina ninabaki namuangalia tuu.

Miaka 3 iliyopita kuna kiwanja kimoja aliniachia marehemu Baba kipo kigamboni kule ni kikubwa kiasi. Na mume wangu ajui hiko kiwanja. Ni mimi tu ka ndugu zangu. Sasa nilipigania kuwa niwajengee watoto wangu nyumba pale japo mimi mama yao sina sio tajiri. Nikasema nitapambana tuu. Nilikuwa naweka vipesa vyangu baadhi na kujinyima. Hata pesa ya mume wangu ya matumizi nilikuwa naibana sana.
Biashara zetu na mume wangu nilikuwa nachota kiasi bila mume wangu kujua kabisa.

Nilianza msingi wa nyumba mbili kwenye eneo moja. Nyumba sio kubwa ni vyumba viwili tuu vya kulala, living na dining room, choo na store na jiko. Sio kubwa kivile.

Ilikuwa ngumu sana kwangu kuanza kujenga.
Sasa siku moja nilikutana na Baba mmoja mtu mzima na anamke na watoto wakubwa tuu. Nilikutananae karikoo kwenye nduka moja hivi. Tulizoeana mapaka kupanga nichepuke nae.
Mkewe kuna kipindi nikamjua mpaka nyumbani kwake. Ni Baba mwenye uwezo tuu tena sana.
Mimi ni mwanamke nina mvuto kwa hio niliamini hawezi nikataa yule Baba. Mara nyingi tulikuwa tunakutana kwenye hotel. Nilimueleza shida zangu akasema atanisaidia.

Alinisaidia kumaliza msingi mpaka boma kuisha za vijumba vyangu. Nilijitahidi sana mume wangu asijue kwani yeye namjua reaction yake endapo akijua.

Yule Baba alikuwa ananifurahia sana , ila alikuwa ananionya kuwa kuwa makini mumeo asijue kabisa. Mimi namwambia tuu usijali ni kweli nilijitahidi mume wangu asijue kabisa.
Nilikaanae miaka 2 yote hio niliendelea nae bila my hubby kujua.
Yeye yuko busy na mtoto wake maana namuangali tuu jinsi anavyomuaangaikia. Mwaka jana alinisaidia sana kuwezeka vijumba vyangu.
Ila mwishoni mwa mwaka jana aliamishwa na kwenda Dodoma kikazi na mahusiano na mimi yaliisha.
Nikiri tuu alinisaidia sana yule Baba. Kwa kiasi kikubwa.

Sasa mwaka huu nilikutana na kijana mmoja mgahawa mmoja nilimpenda, nilijitahidi nikapata tukabadilishana namba najua hawezi kunikataa coz mimi ni mzuri najiamini. Niliingia nae kwenye mahusiano. Na sijamwambia kuwa ni mke wa mtu. Japo vijana ni wagumu kutoa pesa ila anajitahidi kiasi chake. Naamini atanisaidia hata kwenye biashara zangu binafsi, coz yeye anaagiza vitu china.

Najua wanaume mnakasilishwa na usaliti kama huu, najua wapo watanitukana na maneno juu. Lkn hata nyinyi ni wasaliti kwa wake zenu, thread zenu za michepuko mnashauriana sana humu jf.

Mume wangu kanipa donda kubwa sana , tena hata aibu anasema huyu ndo mrithi wangu. Yeye ni wale wanaume akisema basi wote mtii.
Namuangali tuu na mwanae.

Sijaleta kama sifa ni matokeo ya maumivu niliyopata sikuwa na hio tabia kabisa.
Mwenye kuleta povu na alete tuu.
Sema jitahidi watoto wote wapendane kama ndugu. No Bora kuliko hizo nyumba
 
Nimesoma comments bila kusoma utopolo wa huyo dada. Na kuona jinsi mnavyo hangaika kubishana naye.

Kiufupi hamtakiwi kubishana naye. Mwache afanye anachojisikia.... maana maisha yake hayawahusu kwa namna yoyote ile, afya yake haiwahusu wala tamaa zake Za kimwili haziwahusu.

Kila mtu anapambana na hali yake hapa duniani..

Dhambi nayo ukiizoea sana unakuwa kama unaitakasa na Kuwa dhabihu ndani yako.
Kila siku utahitaji kuifanya zaidi ya jana.

Kajaribuni kuwaelewesha na kuwasaidia watu kwenye nyuzi nyingine wanaoomba msaada wa kimawazo.

Huyu haitaji msaada, tayar anashida kichwani.

Ni hayo tu.
 
unajaribu kujustify tabia yako kwa kisingizio kuwa mumeo alizaa nje ya ndoa, huenda mumeo akiwapima dna hao mabinti zenu akakuta si wake.
 
Aaaah kmmmke wallahiiii tumewastulia hizi thread zenu
Zimekaa kimikakakti sana
 
Kuacha nitaacha nasubiri nikifike hatua flani hivi
Kwa sasa nishaezeka , na plasta tayari na magrili.
Nipo na huyu jamaa.
Nikimaliza wiring, rangi, tales, na umeme. Na baadhi ya vitu naachana ne. Mwishoni mwa mwaka huu nitafika tuu.
Kwamba mwanaune agharamie hivyo vyote halafu uje umuache from no where unatafutwa kuchomwa visu wewe sio bure.
 
Yaani ili ngoma iwe sawa we fanya tu ivi zaaa na huo mchepuko wako ila maumivu yabalance kote ila jamaa kiuhalisia alishapiga hesabu zake kitambo tu, anajua mtoto wa kiume ndo anaweza kuendeleza kizazi chake yaani yeye ataoa na kuendeleza familia ila watoto wa kike wataolewa waende Sasa kila mtu ashinde mechi zake hapo
 
Wewe endelea kukitembeza, ikiwezekana toa mpaka kwa mpalange, ila end of the day utafurahi mwenyewe na utakuja kuelewa kumbe mwanaume siyo mtu wa kushindana naye.
 
Back
Top Bottom