Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Wanachosha kila mtu anatoa post za kusaliti wanaume zao wandoa mwaka Jana ilikuwa wanaume wakina DeepPond Sasa ni wanawake eh Dunia imeshasimamaga na wengi tumeshukaga tu maana hii inachosha kama ushoga ilitrend hadi tuliitwaga wanaume humu wamechoka saivi ndio hii mipost Bora hata manjenga ili mkishindwana mnaenda kujisitiri huko.
 
Mume mwenyewe anaonekana ana misimamo makali kama sio Mkorofi halafu unataka kushindana naye ?

Angalia asije akaja kukudhuru! [emoji848]

Na Mwanaume wa hivyo hata kufanya maamuzi ya kukuacha kwake sio kazi!
 
Mm nimwanaume lakin ulicho kiandika nimekielewa vizuri sana,namipia naunga mkono juhudi zako hongera sana.
 
We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
Mpambanaji kwa kudanga
 
Mapenzi yenyewe na hao michepuko umefosi wewe?’!

No chemistry at all. No intimacy.

Unafanya kutumika tu jamani!

Kwani hukuwahi kuwa na Mwanaume mnaependana kwa dhati kabla kiasi ambacho mngeweza kuoana?!
Au yuko mbali? Anyway umeamua mwenyewe hivyo.

Mimi naona si sawa kulalwa na Mwanaume yeyote kwa kuzani unamkomoa mumeo.
 
Utakaporejea home kwenu tabu iko palepale [emoji108]

Mtoto wa kiume kajaa tele. [emoji28]

Unaambiwa kama vipi sepa aiseee [emoji3]

Mumeo nimemkubali Kwa misimamo though mmnh!

Ajaribu kuwa gentleman walau au hataki umtawale?
 
Miaka kadhaa iliyopita mume wangu alimtambulisha mtoto wa nje katika familia yake ni wa kiume alikuwa ni mtu wa furaha sana na kujisifu kuwa kapata mtoto wa kiume na ndugu zake walimpongeza hasa mtoto alifanana nae. Japo mimi nilibaki na maumivu, kwani nimezaa nae watoto wawili wa kike tuu.
Katika maisha yangu nilipenda kuwa na mwanaume ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu. Ila ijakuwa hivyo. Nimelipokea japo nina maumivu.

Mume wangu ni mtu wa mfumo dume niseme. Akiongea ndani ya nyumba ndo ishakuwa hivyo. Aliniambia tuu mtoto huyu ni wangu na ataishi hapa kama utaki basi waweza ondoka.
Nikasema tuu sawa, basi mtoto tunaishi nae hapa.

Tulijenga nyumba moja tulikuwa tunashirikiana kwa kila kitu kwa sababu mimi nina kazi na mume wangu pia na baadhi ya biashara. Na tulishaanza nyumba nyingine kujenga. Ila nilisimama baada ya tukio hilo lililonipa maumivu.

Nilishangaa sana mume wangu anatabia ya kusema tuu yeye hana uwoga. Anasema kuwa huyu ni mtoto wangu wa kiume ndio atarithi mali zangu kwa kuwa anaendeleza jina langu. Mimi namuangali tuu. Mtoto anapita nae mtaani kwa kujisifu hata mbele ya marafiki zake kwa kuwa mtoto kafananae. Na yeye mali zetu zipo kwa jina lake na mimi hata ushahidi kuwa nimeweka mkono sina ninabaki namuangalia tuu.

Miaka 3 iliyopita kuna kiwanja kimoja aliniachia marehemu Baba kipo kigamboni kule ni kikubwa kiasi. Na mume wangu ajui hiko kiwanja. Ni mimi tu ka ndugu zangu. Sasa nilipigania kuwa niwajengee watoto wangu nyumba pale japo mimi mama yao sina sio tajiri. Nikasema nitapambana tuu. Nilikuwa naweka vipesa vyangu baadhi na kujinyima. Hata pesa ya mume wangu ya matumizi nilikuwa naibana sana.
Biashara zetu na mume wangu nilikuwa nachota kiasi bila mume wangu kujua kabisa.

Nilianza msingi wa nyumba mbili kwenye eneo moja. Nyumba sio kubwa ni vyumba viwili tuu vya kulala, living na dining room, choo na store na jiko. Sio kubwa kivile.

Ilikuwa ngumu sana kwangu kuanza kujenga.
Sasa siku moja nilikutana na Baba mmoja mtu mzima na anamke na watoto wakubwa tuu. Nilikutananae karikoo kwenye nduka moja hivi. Tulizoeana mapaka kupanga nichepuke nae.
Mkewe kuna kipindi nikamjua mpaka nyumbani kwake. Ni Baba mwenye uwezo tuu tena sana.
Mimi ni mwanamke nina mvuto kwa hio niliamini hawezi nikataa yule Baba. Mara nyingi tulikuwa tunakutana kwenye hotel. Nilimueleza shida zangu akasema atanisaidia.

Alinisaidia kumaliza msingi mpaka boma kuisha za vijumba vyangu. Nilijitahidi sana mume wangu asijue kwani yeye namjua reaction yake endapo akijua.

Yule Baba alikuwa ananifurahia sana , ila alikuwa ananionya kuwa kuwa makini mumeo asijue kabisa. Mimi namwambia tuu usijali ni kweli nilijitahidi mume wangu asijue kabisa.
Nilikaanae miaka 2 yote hio niliendelea nae bila my hubby kujua.
Yeye yuko busy na mtoto wake maana namuangali tuu jinsi anavyomuaangaikia. Mwaka jana alinisaidia sana kuwezeka vijumba vyangu.
Ila mwishoni mwa mwaka jana aliamishwa na kwenda Dodoma kikazi na mahusiano na mimi yaliisha.
Nikiri tuu alinisaidia sana yule Baba. Kwa kiasi kikubwa.

Sasa mwaka huu nilikutana na kijana mmoja mgahawa mmoja nilimpenda, nilijitahidi nikapata tukabadilishana namba najua hawezi kunikataa coz mimi ni mzuri najiamini. Niliingia nae kwenye mahusiano. Na sijamwambia kuwa ni mke wa mtu. Japo vijana ni wagumu kutoa pesa ila anajitahidi kiasi chake. Naamini atanisaidia hata kwenye biashara zangu binafsi, coz yeye anaagiza vitu china.

Najua wanaume mnakasilishwa na usaliti kama huu, najua wapo watanitukana na maneno juu. Lkn hata nyinyi ni wasaliti kwa wake zenu, thread zenu za michepuko mnashauriana sana humu jf.

Mume wangu kanipa donda kubwa sana , tena hata aibu anasema huyu ndo mrithi wangu. Yeye ni wale wanaume akisema basi wote mtii.
Namuangali tuu na mwanae.

Sijaleta kama sifa ni matokeo ya maumivu niliyopata sikuwa na hio tabia kabisa.
Mwenye kuleta povu na alete tuu.
Eti unajiamini wee mzuri sana, mara eti ulimpa mchepuko akakufurahia sana, ulimpa nini mpaka huyo mchepuko akufurahie wewe kiasi kwamba akujengee na nyumba? Yani ulimpa k au Kuna Cha ziada ulimpa?

Sio Bure wewe ulitoa matako, uliliwa Kwa mpalange, ulitifuliwa tope wewe, vp huskii kamuwasho huko? Utaacha kweli hiyo tabia wewe au ndo mchepuko keshakunogesha?
 
Mimi naamini binadamu tumeundwa kwa utashi tofauti na viumbe wengine.

Binadamu tuna uhuru wa kufanya chochote kile kinachoweza kutufanya tuishi juu ya uso huu wa dunia kwa furaha.

Haswa tunafanya kila kinachowezekana ili tuwe na furaha, tuwe bila maumivu na mkwamo wowote , haswa haswa ni furaha ndio tunayo mpigania.

Katika kupigania huko huo furaha wakati mwingine tunakutana na kinyume chake.

Binadamu tunapo umizwa au tunapo koseshwa furaha huwa hatuna kutulia kwa nafsi roho wala akili mpaka tulipe kisasi.

Kisasi tunacholipa eidha tumuone yule alietusabishia maumivu na yeye ana umia au umuumuze ikiwa hakutani na maumivu.

Katika situation hio mleta mada natumaini kabisa upo sawa, hauna kosa kabisa.

Ila jitahidi sana sana kuwa na kiasi katika mishe zako.

Pole pia.
 
Hivi kuna mtu kaona namna uandishi wa hawa wanaojiita wanawake wanaosaliti waume zao unafanana sana, hadi makosa ya kiuandishi..??

Hii thread ni ya 3 kitu ni kile kile, hivyo wake za watu wote mnaochepuka mnajikuta wote hamjui kuandika Kiswahili sanifu siyo..??

Hongereni attention seekers..!!
Una akili nzuri sana friend....hizi ni soga tu za kuchangamsha genge.

Ndio maana wote wanaandika kuhusu kuchepuka.
 
Hahahaha Wanawake wanaojionaga wazuri hahaha wanakuaga Wajinga sana kwakweli !!

Wengi wa Wanawake wazuri hawaolewi, wakiolewa ,ujue mwanaume ana Moyo wa uvumilivu sana.


Simnaona Kila Aya anasema "Coz najiamin mie mzuri "😂😂😂
Huyo anapakuliwa huyo sio bure
 
Miaka kadhaa iliyopita mume wangu alimtambulisha mtoto wa nje katika familia yake ni wa kiume alikuwa ni mtu wa furaha sana na kujisifu kuwa kapata mtoto wa kiume na ndugu zake walimpongeza hasa mtoto alifanana nae. Japo mimi nilibaki na maumivu, kwani nimezaa nae watoto wawili wa kike tuu.
Katika maisha yangu nilipenda kuwa na mwanaume ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu. Ila ijakuwa hivyo. Nimelipokea japo nina maumivu.

Mume wangu ni mtu wa mfumo dume niseme. Akiongea ndani ya nyumba ndo ishakuwa hivyo. Aliniambia tuu mtoto huyu ni wangu na ataishi hapa kama utaki basi waweza ondoka.
Nikasema tuu sawa, basi mtoto tunaishi nae hapa.

Tulijenga nyumba moja tulikuwa tunashirikiana kwa kila kitu kwa sababu mimi nina kazi na mume wangu pia na baadhi ya biashara. Na tulishaanza nyumba nyingine kujenga. Ila nilisimama baada ya tukio hilo lililonipa maumivu.

Nilishangaa sana mume wangu anatabia ya kusema tuu yeye hana uwoga. Anasema kuwa huyu ni mtoto wangu wa kiume ndio atarithi mali zangu kwa kuwa anaendeleza jina langu. Mimi namuangali tuu. Mtoto anapita nae mtaani kwa kujisifu hata mbele ya marafiki zake kwa kuwa mtoto kafananae. Na yeye mali zetu zipo kwa jina lake na mimi hata ushahidi kuwa nimeweka mkono sina ninabaki namuangalia tuu.

Miaka 3 iliyopita kuna kiwanja kimoja aliniachia marehemu Baba kipo kigamboni kule ni kikubwa kiasi. Na mume wangu ajui hiko kiwanja. Ni mimi tu ka ndugu zangu. Sasa nilipigania kuwa niwajengee watoto wangu nyumba pale japo mimi mama yao sina sio tajiri. Nikasema nitapambana tuu. Nilikuwa naweka vipesa vyangu baadhi na kujinyima. Hata pesa ya mume wangu ya matumizi nilikuwa naibana sana.
Biashara zetu na mume wangu nilikuwa nachota kiasi bila mume wangu kujua kabisa.

Nilianza msingi wa nyumba mbili kwenye eneo moja. Nyumba sio kubwa ni vyumba viwili tuu vya kulala, living na dining room, choo na store na jiko. Sio kubwa kivile.

Ilikuwa ngumu sana kwangu kuanza kujenga.
Sasa siku moja nilikutana na Baba mmoja mtu mzima na anamke na watoto wakubwa tuu. Nilikutananae karikoo kwenye nduka moja hivi. Tulizoeana mapaka kupanga nichepuke nae.
Mkewe kuna kipindi nikamjua mpaka nyumbani kwake. Ni Baba mwenye uwezo tuu tena sana.
Mimi ni mwanamke nina mvuto kwa hio niliamini hawezi nikataa yule Baba. Mara nyingi tulikuwa tunakutana kwenye hotel. Nilimueleza shida zangu akasema atanisaidia.

Alinisaidia kumaliza msingi mpaka boma kuisha za vijumba vyangu. Nilijitahidi sana mume wangu asijue kwani yeye namjua reaction yake endapo akijua.

Yule Baba alikuwa ananifurahia sana , ila alikuwa ananionya kuwa kuwa makini mumeo asijue kabisa. Mimi namwambia tuu usijali ni kweli nilijitahidi mume wangu asijue kabisa.
Nilikaanae miaka 2 yote hio niliendelea nae bila my hubby kujua.
Yeye yuko busy na mtoto wake maana namuangali tuu jinsi anavyomuaangaikia. Mwaka jana alinisaidia sana kuwezeka vijumba vyangu.
Ila mwishoni mwa mwaka jana aliamishwa na kwenda Dodoma kikazi na mahusiano na mimi yaliisha.
Nikiri tuu alinisaidia sana yule Baba. Kwa kiasi kikubwa.

Sasa mwaka huu nilikutana na kijana mmoja mgahawa mmoja nilimpenda, nilijitahidi nikapata tukabadilishana namba najua hawezi kunikataa coz mimi ni mzuri najiamini. Niliingia nae kwenye mahusiano. Na sijamwambia kuwa ni mke wa mtu. Japo vijana ni wagumu kutoa pesa ila anajitahidi kiasi chake. Naamini atanisaidia hata kwenye biashara zangu binafsi, coz yeye anaagiza vitu china.

Najua wanaume mnakasilishwa na usaliti kama huu, najua wapo watanitukana na maneno juu. Lkn hata nyinyi ni wasaliti kwa wake zenu, thread zenu za michepuko mnashauriana sana humu jf.

Mume wangu kanipa donda kubwa sana , tena hata aibu anasema huyu ndo mrithi wangu. Yeye ni wale wanaume akisema basi wote mtii.
Namuangali tuu na mwanae.

Sijaleta kama sifa ni matokeo ya maumivu niliyopata sikuwa na hio tabia kabisa.
Mwenye kuleta povu na alete tuu.
Sijaona cha maana zaidi ya kututangazia biashara yako ya ukahaba huku mwenyewe ukiamini hiyo ndio njia ya kumkomoa mume wako wakati unayejidhalilisha ni wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom