Mume wangu ananilazimisha nifute picha za x wangu

Mume wangu ananilazimisha nifute picha za x wangu

MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!

Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.

Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.

Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Threads nyingine ni upumbavu mtupu. Hawa vijana waliobalehe juzi hupenda kuleta story za kufikirika kutokana na ndoto zao nyevu. Huu upuuzi hautakiwi kuwa hapa.
 
Sasa picha za ex za nini au bado kweli anampenda, kama mmeachana na ukaolewa na mtu mwingine why still keeping Ex's pictures and for what? Wadada na sisi hatujielewi sometimes, eti anacomplain kabisa kwamba anaonewa wivu mmh.

Mwambie afute kila kitu cha Ex na akigoma mkate hata mitama😀
Kwanza sababu ya kumwacha X wake ni kuwa alimsaliti. Sasa mtu ambaye alimsaliti, na sasa ameolewa na mtu mwingine anaweka picha zake za nini kama si wendawazimu?!

Kama alimpenda sans mbona hakuolewa naye?!
 
MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!

Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.

Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.

Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Ungekuwa jirani yangu ningekuchapa makofi kabisa ila basi tu acha nipite kimya!
 
Kwanza sababu ya kumwacha X wake ni kuwa alimsaliti. Sasa mtu ambaye alimsaliti, na sasa ameolewa na mtu mwingine anaweka picha zake za nini kama si wendawazimu?!

Kama alimpenda sans mbona hakuolewa naye?!
Kumbukumbu za Ex hazitakiwi popote, futa kila kitu anza upya bana
 
Huyo mwanaume wako naye hajielewi,mpk sasa uko ndani unafanya nini...?
 
Sasa picha za ex za nini au bado kweli anampenda, kama mmeachana na ukaolewa na mtu mwingine why still keeping Ex's pictures and for what? Wadada na sisi hatujielewi sometimes, eti anacomplain kabisa kwamba anaonewa wivu mmh.

Mwambie afute kila kitu cha Ex na akigoma mkate hata mitama[emoji3]
Nawaambia kila siku humu siku hizi mabinti hawana malezi sahihi na hawana akili nzuri yaani kwa akili zangu nikioa mwanamke wa akili za hivi naweza kumnyonga usiku akufwilie mbali!
Hivi unafikia kuolewa wakati bado unampenda ex wako for what?
Unakaa na namba za maex au dada wa ex wako kifuatacho ni kwenda kumtembelea ukifika jamaa anakuja anapiga viwili fasta[emoji2357]
Yaani vijana mnaooa sa hivi fanyeni uchunguzi mjie akili za wanawake zenu kabla ya kuwaoa mtatombewa sana na maex
 
MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!

Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.

Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.

Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Kuna haja kubwa kwa admin kuanzisha mfumo wa kuhakikisha age za watu wanaoruhusiwa kutuma posts hapa. Utoto unazidi kila kukicha!!!!!
 
siku izi jamii forum imekuwa genge la kesi za mume, mkee[emoji23][emoji23]
 
Kama unajua huja move on kwenye mahusiano ya nyuma acha kukurupuka na penzi jipya. Mwambie na yeye apost picha za ex wake, amuweke na wallpaper kabisa. Hii ndo shida ya kuoa watoto.
 
MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!

Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.

Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.

Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Hapa hamna ndoa. Uliolewa na huyu wa sasa sababu tu hukua na namna!! Wewe ndio utakua chanzo cha ndoa yako kufa sababu umeolewa na usiyempenda!! Bado unampenda ex wako na bado unachepuka nae...!
 
Back
Top Bottom