mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Hili nalo neno mkuu naona kama limesound ebu twende na hili biti kwanza😂Kama huwezi msikiza mmeo utatusikiza sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo neno mkuu naona kama limesound ebu twende na hili biti kwanza😂Kama huwezi msikiza mmeo utatusikiza sisi?
Hapo ndoa hakuna.MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
nakazia, ushauri kwa walio oa ; KUNYWENI MAJI MENGI''🤣🤣🤣
KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI
Huyo mumeo inabidi akuache. Uolewe na hiyo picha ya x wako. Kumbaf sanaMUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Ni aibu kubwa sana kwa mwanaume kama wewe kujiita mwanamke hii ni laana mpumbavu weweMUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Japo ni maji tu haya,yanayoashilia uharisia,watu wanaowaza hivi wa nini?Sasa picha za ex za nini au bado kweli anampenda, kama mmeachana na ukaolewa na mtu mwingine why still keeping Ex's pictures and for what? Wadada na sisi hatujielewi sometimes, eti anacomplain kabisa kwamba anaonewa wivu mmh.
Mwambie afute kila kitu cha Ex na akigoma mkate hata mitama😀
Ikif
ikifika pasaka nimekaa paleeee... huyu mdada ni mpumbbbafff...! Ule usemi wa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ndio hii sasa...!
Vipi na yeye akiweka picha za michepuko yake ????MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
😂😂😂😂 pole classmate karibu chomazone kumewakaTangu mwa J alipo niambukiza uti sugu, sijakanyaga bija...🤣
Sio amkate kwanza mitama afu ndo amwambie afute huo upupu?Sasa picha za ex za nini au bado kweli anampenda, kama mmeachana na ukaolewa na mtu mwingine why still keeping Ex's pictures and for what? Wadada na sisi hatujielewi sometimes, eti anacomplain kabisa kwamba anaonewa wivu mmh.
Mwambie afute kila kitu cha Ex na akigoma mkate hata mitama[emoji3]
Watu kama nyie ndomana mnaliwa tope ,si umesikia mwenzako njombe ameliwa kiboga na mume wake? Sasa nawe unafataMUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Huyo mwanamke kwenye picha ni shemeji yangu,hahusiki na hii story.MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Amwambie kwanza akigoma ndiyo amkate mitama na kabali ampe😀Sio amkate kwanza mitama afu ndo amwambie afute huo upupu?
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Mwana kaoa mke wa mtuMUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.View attachment 2869642
Mzee Nisha kuambia subiri umeze dawa, maana una ripua😄😄Hold on....🤔
I think unashida ya afya kwenye akili..😐
Maana huwezi chukua picha ya mwa J uiweke humu wakati bado hajapona uti sugu..🙄