Mume wangu ananilazimisha nifute picha za x wangu

Hapo ndoa hakuna.

Mwambie huyo mwamba akupige chini atafute pisi inayojielewa.
 
Nasapoti yule member aliyekuita (nanukuu) ''mpumb*vu'' tena haswaaaa na itakuwa huna akili sasa wewe picha za ex wako za nini? Yaani kufutabpicha tu ndio iwe shida utazani ni picha za mama ako?
unasababisha niunge mkono za wadau waliowahi kutoa nyuzi za kuoa bikra au kuoa darasa la saba.............
 
Huyo mumeo inabidi akuache. Uolewe na hiyo picha ya x wako. Kumbaf sana
 
Ni aibu kubwa sana kwa mwanaume kama wewe kujiita mwanamke hii ni laana mpumbavu wewe
 
Japo ni maji tu haya,yanayoashilia uharisia,watu wanaowaza hivi wa nini?
 
Binafsi naona shida wanayo mods wa JF wala siyo members.
Mello angepitisha fagio.
Narudia. Miaka kama 5 iliyopita,JF ilikuwa ya Great Thinkers kweli. Leo hii,imegeuka kuwa kichaka cha wahuni(wazinzi). Mpaka inafikia hatua mapumbavu ya kuwataka wanaume wenzao yanajua hapa ndo penyewe, lifikiliwe. Kuna mada nyingine za kijinga sana.
Vinginevyo mada zilipiwe labda watu watakuwa na adabu
 
Mwanaume mzima unajifanya Mwanamke na kuanzisha mada,

Unachotaka ni nini hasa zaidi ya kuolewa?
 
Vipi na yeye akiweka picha za michepuko yake ????
 
Sio amkate kwanza mitama afu ndo amwambie afute huo upupu?



Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Watu kama nyie ndomana mnaliwa tope ,si umesikia mwenzako njombe ameliwa kiboga na mume wake? Sasa nawe unafata

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Me mwenyewe lazma nku-maindi ***** picha za X wako za nn kama unashda yakuwa unamuona ondoka kwangu nenda mkaonane
 
Huyo mwanamke kwenye picha ni shemeji yangu,hahusiki na hii story.
 
Mwana kaoa mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…