Mume wangu ananilazimisha nifute picha za x wangu


Leo umetiririka Tena bila break ..
 
Zi print mwaya uninginize sebleni zipendezeshe
 
Mume wako yupo sahihi sana. Shukuru Mungu kwa huyo anakuambia kistaarabu ufute hizo pics. Ningekuwa mimi ningekukata na vitasa kabisa, halafu ninge format hiyo HDD kabisa!

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo pichani ndiye anayelalamika?Kama sio wat the point kumweka asiyehusika Kwa story za kutunga?
 
Hiyo ni stori au ni kweli, kama ni kweli basi wewe mwanamke ni pumbafu sana
 
Ndomans vijana wanapata nguvu ya kusema kataa ndoa
 
Mimi as your fellow woman nasema hiviiii WEWE SIO MWANAMKE... NI DUDE LILIOLEWA TU HaLIJITAMBUI
 
Pole sana kwa mwanaume mwenzetu kwa kuwa una mapungufu na hauhitaji kuyafanyia kazi.

Cha msingi mwambie tu afanye maamuzi yanayombeba, kwa sababu ataishi hivyo mpaka lini. AKUACHE tu utapata mume mvumilivu ambae utakuwa unamuonesha picha za X wako na picha zake(mume wa sasa) akiwa X wako pia.

Unless utuambie kuwa ulizaa na huyo X wako na mna picha ambazo ni za familia kwa ajili ya kumbukumbu za mwanao au wanao.

Pia lijamaa kama vipi likurundikie picha za ma X wake kwenye simu na pc yake labda uta feel anacho feel.
 
Malaya hata ufanyaje huwa hawezi badilika ataendelea na asili yake ya umalaya.

Wewe ni malaya na unajua hilo sasa why unahangaika kujitetea na kujifanya ni mwaminifu hauna maisha ya hovyo.
 
Huyo mumeo ni msumbufu na ni mshamba sana.Unatakiwa uzitengenezee fremu kubwa hizo picha za x wako na uzitundike sebuleni mnapoishi.Kwani nini aiseeee!
 
Amesema tuligombana na baadae kupatana labda kama mimi ndio sielewi maana ya kupata🫔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…