Mume wangu ananilazimisha nifute picha za x wangu

Futa kama huna maslahi nazo kama yapo usifute na uyafuate maslahi yako.
 
Mwambie mwamuzi wa huo mgogoro ni talaka tu.
Shwain kabisa
 
Nilitaka nikutukane tusi kubwa sana ila vigezo vimenibana ila jaribu kuwa msaarabu hata kidogo futa izo picha wewe ni mke wa mtu izo picha za x za nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…