Mume wangu anatembea na house girl wa jirani

Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani

Kutembea na Beki 3 sio dhambi!! Dhambi wakivunja amri ya 6! "UMEGUNDUA" hapo kwenye red...fafanua zaidi.....!!
 
Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
Ulitakiwa ujiulize huyo housegirl wa jirani kakuzidi nini mpaka mumeo ahamishie majeshi huko?
 
Sasa kumbe anatembea kumsindikiza labda dukani/sokoni tu mbona hakuna ubaya wowote pengine huyo house girl alimuomba amuonyeshe njia.
 
Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani

ila giLESi ndoa si ilifanyika april,'13 au haikufanyika tena! mbona changa sana! au ndio hivyo tena!
 
Last edited by a moderator:
Hivi inapita siku hapa bila uzi wa mume wangu anatembea na mwanamke mwingine?!!!
Wanawake mbadilike jamani...
 
Acha unyanyapaa.
Sema mumeo anatembea na mwanamke mwingine.
Kwani huyo mwanamke angekuwa banker, lawyer, doctor, .....ungepostije?
Tatizo lake anamdharau huyo binti kwa kuwa eti ni housegirl wakati mumewe akifika kwa huyo binti anapumua kama vile kawekwa kwenye VENTILATOR.
 
Badilisheni mtaa mhamie mitaa mingine huo uhusiano utaisha
 
lara 1 , you have made my day!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
na wee tembea na house boy wa jirani ili ngoma iwe droo
 
haya Lara1,soma limeeleweka!

 
lara 1 kiukweli huwa sikupatii mfano kwa michango yako ktk jamvi hili la MMU!

Keep it up
 
Last edited by a moderator:
Huyo beki 3 anakuzidi nini
Unashindwaje kumhamisha mjini badala yake unalalamika lol!
 
Huyo mmeo anakuheshimu sana. Sijui unalalamika nini. Assume kule anapewa tgo, je angekuomba ungempa au ungeitisha vikao!?

ungekuwa hapa karibu yangu ningekupa bonge la fyoooooooonzo ila sijui linaandikwaje. Kwanza ndo mana jina lako Jambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…