Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,255
ndo atakuwa amempa unafuu, kula unnoticedBadilisheni mtaa mhamie mitaa mingine huo uhusiano utaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo atakuwa amempa unafuu, kula unnoticedBadilisheni mtaa mhamie mitaa mingine huo uhusiano utaisha
"hausigeli" ana mambo!Tatizo lake anamdharau huyo binti kwa kuwa eti ni housegirl wakati mumewe akifika kwa huyo binti anapumua kama vile kawekwa kwenye VENTILATOR.
Kumbe bujibuji ni mwanamke??
Yale yale ya kina giLesiJamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
Mume wako? Wewe ni SHOGA kumbe?Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
2013 watu walikuwa mazwazwa, njemba inajifanya mwanamke na watu wanachangia kwa furaha tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ke au
me ,ihii!
Mume wako? Wewe ni SHOGA kumbe?
Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
Hivi huyu ni Bujibuji niliemzoea huku jukwaani au mwingine?? Tangu lini umeolewa bandugu?😀Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani
Hivi huyu ni Bujibuji niliemzoea huku jukwaani au mwingine?? Tangu lini umeolewa bandugu?😀
Bujibuji kumbe we ni ke🤣🤣🤣🤣🤣Jamani mwenzenu mume wangu ananiambia nina husuda, hii ni nini? Kisa tu nimegundua anatembea na house girl wa jirani