Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,431
- 4,925
khaaa kuna vitu serious na utani hapa JF ,mimi ninamasikhala humu JF mpaka na pewa banDada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
ila kwenye suala la afya kama sina ujuzi siwezi kuandika chochote hayo ni mambo ya kitaalamu