Mume wangu anaumwa!

Mume wangu anaumwa!

Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
khaaa kuna vitu serious na utani hapa JF ,mimi ninamasikhala humu JF mpaka na pewa ban
ila kwenye suala la afya kama sina ujuzi siwezi kuandika chochote hayo ni mambo ya kitaalamu
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Sio lazima uchangie kila mada......
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
na wewe umechangia mada!!!!

JF kazi tunayo kwa kweli
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Khe! We ni msaga sumu, nna uhakika ukifa utageuka shetani kwa sababu roho yako mbaya kuliko hata ya ibilisi.
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

aisee are you serious????
 
Kuna baadhi ya wanamme, wakikosa hela tu wanaumwa. Mchunguze utagundua kitu, hospital inampa comfort fulani hivi, nishaona mtu mmoja naye ana tabia hizo hizo.

Hahahahaha, hapa umenena inaeza ikawa kweli.
 
Pole sana ...chambua yenye manufaa hapa...wengine watakupoteza bure.
 
Yy anahs homa kali! Na mwili pia unamuuma sana kila cku tunabadilisha magodoro

Yaani nilikuwa nawaza swala la godoro lakini inawezakana pia ana matatizo ya damu kuwa nyingi au kupungua ni mtazamo wangu tuu katika hili
 
Habari yako...Mwambie aende hospitali na apunguze damu mwilini kwa kuwachangia wagonjwa au kuweka katika blood bank. Pia mwambie atumie matunda yanaoitwa tini..ale kokwa 7 asubuhi na 7 akitaka kulala....pia tafuta vitunguu thomu vile vidogo na awe anatafuna 7 asubuhi 7mchana na 7 usiku.....pia Mwambie awe anakunywa maji ya uvugu vugu yaliowekwa ndimu...Anza na hii kama utakua na tatizo uta ni PM....

Mkuu,,unamuelekeza Dawa umeshajua anachoumwa?
 

Huyo atakuwa amelogwa tu huyo, we unadhani watu wanafurahi kuona akiwa ana miliki mtoto mzuuri kama wewe.. Something has to be done ooooh, before he go into extinction.
 
Anaumwa usiku akiwa mmelala asubuhi amepona. Jaribu alale chumba cha peke yake kwa siku chache. Asipoumwa jibu ni kuwa wewe una spiritual husband au yeye ana spiritual wife. Maombi makali yahusike. Ikiwa ataendelea kuumwa uwezekano ni stress. May be hana hela, au wewe unapenda kumpa chakula kingi kile cha kikubwa wakati yeye akila kidogo hawezi kuendelea.
 
Msongo wa mawazo
Kuchoka
Mwambie arelax ongea nae akueleze tatizo ni nini ? na pia uwe unamfanyia massage kila akirudi inawezekana zaidi kazi yake inamchosha just mawazo yangu!
 
Back
Top Bottom