Mume wangu anaumwa!

Mume wangu anaumwa!

Pole sana dada kwa hali hiyo maombi itakuwa njia sahihi kabisa jaribu hilo mungu anaweza yote.
 
mama pole sana, kuna magonjwa mengine ni kiimani na hayatibiki bila ya imani,hivyo kwa kumuomba Mwenyezi Mungu kwa imani hakika atapona mama yangu kila la heri.
 
anapata homa ucku?.anatoka sana jasho ucku?.mwl unachoka sana?.if yes akachek TB huwa inaonekana sana kwa tabu
 
ni lile jina litiayo nguvu tu nendeni kwake maana si kila mtu anakupenda mjini hapa,omba usiku na mchana mwambieni awasaidie,sisi wengne wote wanafiki ila yeye ana jibu sahihi kwenu
 
Mpo wapi?! Ni Zanzibar?!! Maana kule ishu za afya hasa vipimo si hodari saana kama Bara,

Zaidi ya yote asichoweza mwanadamu Mungu Anaweza jihusishe naye,

Huwa pana majini kwa hali kama hiyo huenda wewe ndio unao hao hivyo humpiga mr wako kwa magonjwa ili akumiliki/wakumiliki wewe

Chukua hatua, hiyo hali inamwisho.
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Insane in your Brain.
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Ulikuwa huna sababu ya kuandika huu ujinga wako lkn....pia ukumbuke ww binadamu kama huyo anaeomba ushauri leo ipo cku na ww yatakuja yakukute makubwa hata ya huyu uliemshauri maneno ya kejeli haya ni madogo....kuwa na stara
 
Habar zenu na polen majukumu! Mume ana umri wa miaka 33 sasa! Analalamika sana anaumwa kila leo, amefanya full blood picture hakuna tatizo linalomaibu, kila cku yuko hosp anahangaika! Hakukwi na tatizo lolote! Lkn mwenyewe analalamika kuumwa kila leo! Ucku anapataga homa kali mate anayaona machungu n.k! Asbh akiamka yuko mzima anasema tu mwili unamuuma! Akicheki malaria, u.t.i, typhod na magonjwa mengine hana! Sometimes anapita hosp hata 6 mpaka 7 na zote haonekani na ugonjwa wowote! Namwonea huruma na sina furaha kwaajili yake! Na tangia tuanze uhusiano kipind ndo namfaham huwa analalamika kila siku anaumwa kitu kinachonifanya nikose amani kabisaa! Nisaidien jaman anasumbuliwa na nn na afanye nn? Anakula vizur na anapenda kunywa maji mengi sana! Ana afya yake nzuri tu ukimwona! Nisaidien madr.


Huyo Piga Chini fasta ana magonjwa ya kurithi, atakuaribia Ukoo!
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Watu wote tungekosa busara hivi basi jamii ingepukutika kwa kukosa faraja. Tumia lugha ya busara, huruma na ushauri usioumiza. Ningekuwa wewe ningemtia moyo wakapime vvu. Huwezi jump into conclusion eti ni ukimwi. Pole sana dada najua hii post hapa imekukwaza na kukuumiza sana.
 
Dada pole sana
Mpeleke kwenye maombi

Mbona ulichoandika hata hakiendani na alivhoandika?.Hivi mtu anaumwa umpeleke kwenye maombi una maana gani!.Aiseee hivi haya mambo yataisha lini?.hivi kuna watu karne hii ya 21 wanaamini kwamba eti ugonjwa unatibiwa kwa maombi?
 
Du!pole sana mwombe mungu atapona

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Du!hum namo kunawatu hawana akili washabakiza akili za kuvalia nguo na kuvuka barabara noma sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom