mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Mapumziko ni muhimu sana, je anapumzika...?
Ameulizwa sana swali hili na alijibu mapema humu. Analala hadi masaa nane pia so kaondoa uchovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapumziko ni muhimu sana, je anapumzika...?
Hata mie nikikosa hela huwa naumwa na kila nikikaa peke yangu nikijisahau tu nafyonza/nasonya tu lakini huyu amezidi mpaka anakwenda spitali 7 zoteKuna baadhi ya wanamme, wakikosa hela tu wanaumwa. Mchunguze utagundua kitu, hospital inampa comfort fulani hivi, nishaona mtu mmoja naye ana tabia hizo hizo.
Mwili ucpokuwa kwenye hali yake yakawaida huwezi kuwa na Amani so ni muhimu kujaribu kila linalowezekana Khs hawa jamaa wa TIBA mBADALA wanaile kitu wanaita DETOX wanatoa SUMU kwakutumia Mashine ktk kutafuta suluhisho cvibaya pia ukajaribu nahuko mimi iliwahi kunitokea sasa ukienda hospt unapewa vidonge Unapata nafuu tu lkn uzima hakuna hapa kila mtu anasema analodhani litasaidia Lkn uamuzi unabaki kwa muhusika
Mkuu wewe ulipona kwa imani sio mashine, hizo mashine sio kitu wala hazinauwezo wa kutoa sumu mwilini.