Mume wangu anaumwa!

Mume wangu anaumwa!

Poleni sana dada Korino, nikiwahi kupata rafiki yangu alikua na hali hiyo ya kuhisi joto kali sana saa za jioni ama pia usiku na kutokwa na jasho jingi sana, na tulifanya vipimo mbali mbali bila mafanikio.

Tukaja kutana na veterinarian mmoja akatuelekeza pale SUA morogoro wana clinic ya wanyama ndipo akatolewa damu na kumgundulika na ugonjwa wa wanyama uitwao (BRUCELOSIS) inasemekana baadhi ya technicians wa magonjwa ya binadamu hushindwa kutafsiri magonjwa ya wanyama ambayo huweza mpata binadamu (zoonotic diseases) hivyo waweza tibiwa ndivyo sivyo ama ukakosa matibabu kabisa
Sasa kiwa waweza nenda ukawaone pengine wanaweza kukusaidia kwa kuwa yule rafiki yangu yupo sawa kabisa kwa sasa.
 
Mwambie anywe dawa za Cipro... Zinatumika sana kutibu magonjwa yasiyoonekana. Mimi mwenyewe huwa nina shida kama ya kwake. Najisikiaga mgonjwa bila kujua naumwa nini. Lakini nikinywa hizo dawa nakuwa mzimaa. Typhoidi sina na wala U.T.I...
 
Pole sana jebu jaribu vipimo vya TB kwani ndio huwa inatabia ya kuwa na joto kali sana usiku na huwa mwili kutoka jasho kisha asubuhi unakuwa ok
 
Kama siyo fatigue basi kuna uwezekano ikawa ni viral infection. Hii huwa haionekani kwenye vipimo. Sana sana atapewa some vitamins pia ataambiwa anywe fluids za kutoshana kupumzika. Mwili wa binadamu umeumbwa ku - heal wenyewe. Atapona of course kwa maombi pia. Mungu wetu ni mkubwa. Pole kwa kuuguza.
 
Mwambie akafanyiwe CT scan na MRI

wataona kama kuna kitu ndani yake hakipo sawa.

Pia Muhimbili akienda kama grade A watamsaidia atalipa na majibu hayo
 
Niliwahi umwa kihivyo na madaktari walinipima hawakuona ugonjwa,
nilipelekwa regency daktari mmoja mswahili akanihoji juu ya kazi zangu,muda wangu wa kupumzika akagundua natakiwa kupumzika.Alinipa dawa za maumivu tu na akaniandikia ED ya siku 5,akaniagiza niwe nakunywa maji Mengi na kupumzika sana nisiwaze wala kufanya kazi,baada ya siku hizo tano nilipona kabisa.
Na hawa ndugu zetu IT tech. wako bussy sana huenda ikawa sababu,lkn ni muhimu kuwaona madaktari kama ikiwezekana waone hata wale wanaotumia tiba mbadala au tiba lishe,anzia pale WAPO Redio kurasini.
 
Mwili ucpokuwa kwenye hali yake yakawaida huwezi kuwa na Amani so ni muhimu kujaribu kila linalowezekana Khs hawa jamaa wa TIBA mBADALA wanaile kitu wanaita DETOX wanatoa SUMU kwakutumia Mashine ktk kutafuta suluhisho cvibaya pia ukajaribu nahuko mimi iliwahi kunitokea sasa ukienda hospt unapewa vidonge Unapata nafuu tu lkn uzima hakuna hapa kila mtu anasema analodhani litasaidia Lkn uamuzi unabaki kwa muhusika
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Angalia sana assumption zako, maisha ya watu hayo ujue! Sijapenda!
 
Mbona ulichoandika hata hakiendani na alivhoandika?.Hivi mtu anaumwa umpeleke kwenye maombi una maana gani!.Aiseee hivi haya mambo yataisha lini?.hivi kuna watu karne hii ya 21 wanaamini kwamba eti ugonjwa unatibiwa kwa maombi?

Ndg muombaji ushauri she has appreciated my advice
After all na wewe wa 21 century ulitakiwa umpe ushauri wako afanya comparison na wa kwangu ajue achukue wa 21 au 19 century.
Ndo maana akalileta kwetu akiamini wapo wa different development with different perspective.
So plz don't judge my advice as you are not the one seeking for advice
Anyway thanks
 
Mbona ulichoandika hata hakiendani na alivhoandika?.Hivi mtu anaumwa umpeleke kwenye maombi una maana gani!.Aiseee hivi haya mambo yataisha lini?.hivi kuna watu karne hii ya 21 wanaamini kwamba eti ugonjwa unatibiwa kwa maombi?

Free ideas let the free ideas leave.... imani yako itakuponya.
 
Poleni sana dada Korino, nikiwahi kupata rafiki yangu alikua na hali hiyo ya kuhisi joto kali sana saa za jioni ama pia usiku na kutokwa na jasho jingi sana, na tulifanya vipimo mbali mbali bila mafanikio.

Tukaja kutana na veterinarian mmoja akatuelekeza pale SUA morogoro wana clinic ya wanyama ndipo akatolewa damu na kumgundulika na ugonjwa wa wanyama uitwao (BRUCELOSIS) inasemekana baadhi ya technicians wa magonjwa ya binadamu hushindwa kutafsiri magonjwa ya wanyama ambayo huweza mpata binadamu (zoonotic diseases) hivyo waweza tibiwa ndivyo sivyo ama ukakosa matibabu kabisa
Sasa kiwa waweza nenda ukawaone pengine wanaweza kukusaidia kwa kuwa yule rafiki yangu yupo sawa kabisa kwa sasa.

nice comment
 
Binafsi nimekuwa nasumbuliwa na na tatizo kama ili kwa muda , mimi pia nafanya kazi za IT consulting, baada ya kufanya vipimo vingi na vyote havina majibu ya ugonjwa , niliamua kuchukua likizo na kupumzika bila kugusa computer au kufanya kazi yoyote, hii ni uchovu ukizingatia muda mwingi watu wa IT wanaangalia sana computer na kufanya kazi muda mwingi offisini na wakati mwingine hata nyumbani.
Nashauri apate muda wa kupumzika.
 
Mimi nimempa dawa za Ki sunna..ni utaratibu wa maisha ambo Mtume wetu ametutaka tuishi...dawa nilizompa hapo hazina side effect yoyote ni kama unakula chakula tu..nafikiri huijui Tiini ni nini,pia hujui matumizi ya kitunguu thomu zaidi ya kupikia nyama...kuhusu suala la damu najua akienda hospitali kabla hawajamtoa watamuangalia wingi wa damu yake...majani ya mapapai pia hutumiaka kama ni kinga au tiba ya malaria sugu...kwa hio usiwe na khofu na ushauri nilioutoa...
 
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Mmmh! hii ndo inaitwa bila kuumauma au kumung'unya maneno, kwani unapimaje mkuu? au ni unyanyapaa at work?
 
dada yangu usiwe na hofu huu ni ukimwi,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni ukimwi gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.

Sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
toka nimezliwa sijawahi kutana na kiumbe ambaye mungu amemnyima akili kama wewe yaani bora hata mende kwakweli alijifamulia kukaa chooni
 
Pole sana dada, hapo sio swala la kupima FBC tu, akacheki minyoo na kipimo kinaitwa Upper GI Endoscopy barium swallow pia kama ana stress apunguze.
 
Mapumziko ni muhimu sana, je anapumzika...?
 
Back
Top Bottom