Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,431
- 4,925
khaaa kuna vitu serious na utani hapa JF ,mimi ninamasikhala humu JF mpaka na pewa banDada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
na wewe umechangia mada!!!!Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Khe! We ni msaga sumu, nna uhakika ukifa utageuka shetani kwa sababu roho yako mbaya kuliko hata ya ibilisi.Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Dada yangu usiwe na hofu huu ni UKIMWI,watu wengi sana siku hizi wanaumwa ila ukipimwa huwezi kuona kitu nadhani kuna tatizo kwenye vipimo vyetu au virusi hawa ni wapya hawajajulikana,subiri kidogo tu na wewe utaanza kuumwaumwa mwishowe wote mtafariki,nawashauri msizae watoto this tym coz na wao wataumwaumwa watafariki,mi najiuliza sana huu ni UKIMWI gani hauonekani ni wengi wako hivyo,pole sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
mchunguze vizur huenda anakwepa jukumu lake
Kuna baadhi ya wanamme, wakikosa hela tu wanaumwa. Mchunguze utagundua kitu, hospital inampa comfort fulani hivi, nishaona mtu mmoja naye ana tabia hizo hizo.
Where is Dar group located?
Yy anahs homa kali! Na mwili pia unamuuma sana kila cku tunabadilisha magodoro
Habari yako...Mwambie aende hospitali na apunguze damu mwilini kwa kuwachangia wagonjwa au kuweka katika blood bank. Pia mwambie atumie matunda yanaoitwa tini..ale kokwa 7 asubuhi na 7 akitaka kulala....pia tafuta vitunguu thomu vile vidogo na awe anatafuna 7 asubuhi 7mchana na 7 usiku.....pia Mwambie awe anakunywa maji ya uvugu vugu yaliowekwa ndimu...Anza na hii kama utakua na tatizo uta ni PM....
Iko tazara pale imepakana na RTD
Ah! Wewe unataka kumpotezea muda, kwani maombi ni dawa ya maradhi gani?Dada pole sana
Mpeleke kwenye maombi
Ah! Wewe unataka kumpotezea muda, kwani maombi ni dawa ya maradhi gani?
Sent from my SM-G800H using Tapatalk